Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Naona baada ya watu wa zamani kuteuliwa ID zilizopotea zinarudiWaziri wa ulinzi mwanamama ~ Wenzetu Kenya wana mwanamama kwenye wizara hii na mambo yanaenda safi sana, hii ni wizara iliyotulia. Haihitaj waziri mwenye makeke.
Harufu kaudini ni kali sana hadi inakereketa.Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo
- Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa
- Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambae uteuzi wake umetenguliwa
- January Makamba anachukua nafasi ya Merdard Kalemani wizara ya Nishati
- Makame Mbarawa anachukua nafasi ya Chamuriho wizara ya ujenzi na uchukuzi
- Dkt. Feleshi anachukua nafasi ya Kilangi kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali
View attachment 1935268
View attachment 1935270
Mbona hukuyasema haya wakati wa yule msukuma? au mlikuwa hamuoni?Harufu kaudini ni kali sana hadi inakereketa.
KAZI IENDELEE
Kweli tupu, ni fisadi kupindukiaHuyu njemba anaandikaga ushuzi
tunaanza upyaaaaaa ~ in Bwege's voiceNaona baada ya watu wa zamani kuteuliwa ID zilizopotea zinarudi
Punguza stress mkuu... relaxNingewaelewa kama mngepigana private sector iruhusiwe kufanya biashara ya umeme kushindana na monopoly ya TANESCO, sasa mnataka umeme bure kutoka kwa serikali ambayo hata kulipa mishahara haiwezi, akili zenu sawa tuu na hiyo serikali inayowaongoza and you deserve each other
Mbadala wa Mbowe CDM ni nani?I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
Kwani mkuu bei hiyo waziri ndio anapanga?tatizo lake ni kila kitu kuingiza siasa, tanesco kuna lundo la matatizo yeye anayatolea matamko ya kisiasa tu na mwisho wa siku hayatekelezeki!!!Kalemani amechomoka kisa siasa chafu. Hapo katolewa kisa issue ya umeme kulipia 27,000/- kwa wateja wa aina zote.
Hiyo ilikuwa unfeasible kabisa hata sisi ma layman tuliliona hilo. Ni issue ambayo haiwezekani.
Why?Totally unfit for the position
Mchezo gani tuhabarishe pleasedNilijua kwa Kalemani. Huo mchezo wao walioufanya umemkost. Bado Majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Kalemani wanasema ule mchezo umemkosta, alifanya niniUlinzi kachemsha
Ndungulile apewe afyaNdugulile anatenguliwa tu π
Leta jina la baba yako ateuliwe basiUlinzi kachemsha
Ngoja tuone huyu atafanya Nini ambalo Medard hakulifanyaNishati kumeoza
Tanesco kumeoza kila saa umeme sifuri
Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo
- Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa
- Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambae uteuzi wake umetenguliwa
- January Makamba anachukua nafasi ya Merdard Kalemani wizara ya Nishati
- Makame Mbarawa anachukua nafasi ya Chamuriho wizara ya ujenzi na uchukuzi
- Dkt. Feleshi anachukua nafasi ya Kilangi kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali
View attachment 1935268
View attachment 1935270
mkuu yellow sio caution kweli π red is warningYellow light is the warning sign
Twende by numbers kabla hatujakuita mdini, budha wangapi, hindu wangapi, kristo wangapi, ustaadhi wangapi etc baraza lote... πHarufu kaudini ni kali sana hadi inakereketa.
KAZI IENDELEE