Mama anaakili Sana. hamjui Tu. Ulinzi ulinzi...na fyokofyoko fununufununu zenyu za kutaka .......... Sasa Lazima tuucheze mwingi tuwe na support sekta muhim Ka hiyo. Only if you know war I miiin.Yule mama na ulinzi wapi na wapi.
Duh! Kazi iendeleeeee...
Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo
- Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa
- Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambae uteuzi wake umetenguliwa
- January Makamba anachukua nafasi ya Merdard Kalemani wizara ya Nishati
- Makame Mbarawa anachukua nafasi ya Chamuriho wizara ya ujenzi na uchukuzi
- Dkt. Feleshi anachukua nafasi ya Kilangi kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali
View attachment 1935268
View attachment 1935270
Unatutisha mkuu, maana haya unayoyasema hapa ni kama kweli!Wizara za upigaji ni nishati na wizara ya madini muda wa kina singa singa kurudi waanze kuchota mapesa ya watanganyika
Mama ameona mbali sana. Hizi njemba za humu nchini zote zimeelekeza akili zao kwenye kiti namba 1, ukizipa wizara ya ulinzi tegemea kuhujumiwa.Mama anaakili Sana. hamjui Tu. Ulinzi ulinzi...na fyokofyoko fununufununu zenyu za kutaka .......... Sasa Lazima tuucheze mwingi tuwe na support sekta muhim Ka hiyo. Only if you know war I miiin.
Pacha unakosea. Kwani kipindi cha hayati walikuwa hawatumbuliwi? Tusilee uozo eti kisa fulani alikuwa team hayati.Kwa maoni Yangu nchi iko njiani kuliwa mande. Huyu maza anajimwambafy kufanya aliyofanya JPM ila anapanga ukoo wa mkwere kwenye baraza huku wale walokuwa kindakindaki awamu fulani wakipinduliwa na kuangikia pua . Hii nchi kuna ka kikundi kanaiongoza na makamba ni zao Lao
Kwanini kamuacha Doto Biteko!!??Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kafanya uteuzi wa Baraza la Mawaziri na kuwatoa baadhi ya Mawaziri!
1. Fautine Ndugulile katolewa na nafasi yake inachukuliwa na Dr Ashantu Kijaji!
2. Waziri wa Ujenzi ni Mh Mbarawa
3. Waziri wa Nishati ni Mh January Makamba na nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Dr Eliezer Feleshi,pia Waziri wa Ulinzi ni Dr Tax
Kama alivyokuwa anafanya JPM kujaza Kanda ya ziwa,Biteko,Kalemani,Kingwangala,Mpina,Mabeyo,Siro,wakala nchi weeee,Kwa maoni Yangu nchi iko njiani kuliwa mande. Huyu maza anajimwambafy kufanya aliyofanya JPM ila anapanga ukoo wa mkwere kwenye baraza huku wale walokuwa kindakindaki awamu fulani wakipinduliwa na kuangikia pua . Hii nchi kuna ka kikundi kanaiongoza na makamba ni zao Lao
Duu sikujua nina pacha humu. Kwanza nikusalimie kwa jina la jamhuri yetu ile ile kaka. Tumbua neutral inaeleweka na yenye mlengo fulani nayo iko wazi . Time will tell ila hizi teuzi zina harufu ya awamu ya nne .hapo ndo kama nchi tutaliwa mande mchana kweupe . Naamini awamu ile ulikuwa haujawa uwanjani ila sisi wakongwe tunayo mengi ya kuwasimuliaPacha unakosea. Kwani kipindi cha hayati walikuwa hawatumbuliwi? Tusilee uozo eti kisa fulani alikuwa team hayati.
mlilemazwa sana akili na yule punguani wenu,hakuna Mtanzania mnyonge!!Ukiondoa uteuzi wa waziri wa Ulinzi, tengutengua zingine zinahitaji maelezo ili wananchi waelewe.
Yaani serikali yajifanyia mambo yake inavyoona inafaa huku ikisalimu amri kwa mashinikizo kutoka upande ule.
Pole nyingi ziwaendee watanzania wanyonge.
Hawa wote Hawana jipya.haiwezekani miaka 60 ya uhuru wananchi bado wanachangishana fedha za ujenzi wa madarasa kwa harambee.hii serikali ya kihuni ya ccm Haina jipya kwa wananchi.As long as Mwigulu bado yupo kwenye Baraza, naweza kusema hii haitoshi-alituambie tuhamie Burundi.
Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa Mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?
Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.
Watanzania tuendelee kudai Katiba mpya tupate watu wapya kuongoza hii nchi kwani hata hawa walioenguliwa bado kesho wanaweza kurudi tena katika Baraza la Mawaziri.
Chama kilekile, Watu walewale (wanaachiana tu viti) na matokeo yake maisha ya watanzania yanabaki kuwa yale yale miaka nenda, miaka rudi.
Pathetic!
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them-Mchungaji Msigwa.
Kachemsha, Wewe ulitaka ateuliwe nani?Ulinzi kachemsha
Bora gwajiboy kalala mlalo wa mendeSawa, team Magufuli ya the Chamurihos, Kalemanis, Nduguliles, Kilangis mpo!
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu, ameshindwa kumshauri 'kisheria/kikatiba' Rais Samia S Hassan
Kwanza, wakati Mama Samia anatangaza kifo cha Hayati JPM, alitangaza siku 14 za maombolezo ilihali kwenye katiba zinatajwa siku 21. Baadae Katibu Mwenezi CCM ndg Polepole akatangaza siku 21 kwa niaba ya chama 'MKANGANYIKO'. Wananchi walihoji kwanini Makam alitangaza siku 14 badala ya 21...www.jamiiforums.com
Ahaaa acheni vichekeshoTotally unfit for the position