Kwani anaenda kushika mtutu apigane vita?Yule mama na ulinzi wapi na wapi.
Wazee wa kikundi kinaendesha nchi wanasemaje kwani?Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo...
Makamba awe PM tuu ,huyo jamaa yenu kachokwaNilijua kwa Kalemani. Huo mchezo wao walioufanya umemkost. Bado Majaliwa maana nae ana mkono katika hili
I also think so...alijisahau sana. His handling of affairs was more mechanical.Kalemani wamemchelewesha. Wizara ilianza kumuelemea.
Bado watafyekwa wote taratibu japo Waziri wa Fedha mama atatembea naeSawa, team Magufuli ya the Chamurihos, Kalemanis, Nduguliles, Kilangis mpo!..
Kwa nini Mkuu unataka kutuaminisha kuwa hao wengine wali fit walipoteuliwa kwa mara ya kwanza ondoa hiyo dhana ya kutaka majina uliyoyazoea ndio yateuliwe hata wewe unaweza kuwa hapo na ukapiga kazi...Totally unfit for the position
Kumbukumbu watu hawana Mkuu ugali unapoteza sana uwezo wa kutunza kumbukumbu na ndio tunakula kweli...Kabudi, Ndalichako, Mpango wakati wanateuliwa kwa mara ya kwanza hawakuwa wabunge
Hakika ni unafiki wa watanzaniaUnapima kuyumba ukilinganisha na awamu gani?
Watanzania tuache upumbavu..viongozi wetu wengi ni substandard na wengi below standard na hii ni kwa miaka na miaka..hii ya kujifanya sijui tunayumba sasa hivi ni unafki tu na upumbavu.
Alifukuzwa kisa mifuko ya plastiki?..how?Aacha uongo alifukuzwa kwa sababu hiyo ila zipo na sababu nyingine lkn iliyotamkwa wazi ilikuwa ni mifuko ya plastic
Na sio huyo tuBadili mtazamo wako wa kufikiri,
mfano mdogo ni Angel markel . Tanzania hatuyumbi ila akili zetu zimekataa kuamini tunaongozwa na mwanamke
Na January ndo anaenda kupazika kabisaNishati kumeoza
Tanesco kumeoza kila saa umeme sifuri
Majaliwa ni galasa kuzidi galasa lenyewe.View attachment 1935277Huyu yeye lini?
Lakini hayo ni mawazo yakomzee kamuandikia mama kinot mpe mwanangu january uwaziri mama kakubali ombi
Hakuna neno BURE kwenye biashara. Hayo ni maneno ya wanasiasa.Ila Kuna nchi nyingi tu duniani huduma za kuunganishiwa umeme ni bure.
Mwache rizi moko ateuliwe mwananchi huyuKuwaacha Mwigulu Nchemba, Mzee George Mkuchika, Innocent Bashungwa na Paramagamba Kabudi ni dhambi isiyostahiki kusameheka. Kuwateua watu kama Makamba, Feleshi na Kijaji ni kujuana tu. Sitashangaa kusikia kichwa kibovu Ridhwan Kiwete akiteuliwa kuula ili kuendeleza ukoo tawala nyuma ya pazia.
Urais 2025
Mwigulu vs January.
Wafuasi wa Mwigulu leo wamepata pigo kubwa sana kusikia dogo January kafufuka tena.
Watatukana matusi yote.
Ila kiukweli mimi binafsi nakuelewa sana Prof MbalawaBora mzee Chamuriho ametolewa ujenzi maana alikuwa mzigo mzito,
sasa Prof Mbarawa fuatilia ujenzi wa barabara,
Kwani rais si binadamu tu kama weweMshana anajua kuliko raisi na timu yake haya ni maajabu ya karne [emoji23][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app