Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Kumtoa kamshina wa TRA Kidata tu na kumuacha waziri wa fedha Mwigulu Nchemba ni kosa kubwa la Serikali...

Na Rais Samia anaweza kuwa amedhania ametatua tatizo, lakini ukweli ni kuwa, so long as Mwigulu Nchemba ndiye anaye dictate sector ya fedha na kikodi hapa nchini, basi atakuwa hajatatua tatizo analodhani amelitatua..!
 
Huyo ni mtanganyika mwenzako...nani kakudanganya ni mzanzibar
 
Huyo jamaa kwani ni mzenji? Mbona kabla ya kuteuliwa huko zenji alikua TRA huku
 
 
Mw
Mwigulu,Nape,January hizo ni pillers zake hawawezi kuwatoa unless kama hataki kugombea 2025
 
Yote Ni Maisha tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…