butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Kazi maalumu!Kidata kumbe ni mmoja wa wale jamaa zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi maalumu!Kidata kumbe ni mmoja wa wale jamaa zetu
Kumtoa kamshina wa TRA Kidata tu na kumuacha waziri wa fedha Mwigulu Nchemba ni kosa kubwa la Serikali...
Na Rais Samia anaweza kuwa amedhania ametatua tatizo, lakini ukweli ni kuwa, so long as Mwigulu Nchemba ndiye anaye dictate sector ya fedha na kikodi hapa nchini, basi atakuwa hajatatua tatizo analodhani amelitatua..!
Kamishna Mkuu Anatoka Zanzibar kamishina wa customs Anatoka Zanzibar piaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
I was expecting this ,and I was optimistic about this judgementRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Kamishna wa customs Nae ametoka Zanzibar 😂Kaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.
Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.
Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.
Sio mzanzibar huyo acheni upuuzi nyie vijana ambao mnaandika kwa kukurupuka huyo jamaa si alishawai kuwa meya kinondoni. Huyo jamaa anakaa makumbusho na kashawai gombea na gwajima kura za maoni kawe wakshindwa wote na yule kijanaKaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.
Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.
Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.
Sasa tunafanyaje kama watanganyika? Nini maoni yako?Kaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.
Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.
Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.
Kuwa meya wa Kinondoni na kugombea na Gwajima inaruhusiwa kwa mzanzibari. Kwahiyo hoja yako ni matopeSio mzanzibar huyo acheni upuuzi nyie vijana ambao mnaandika kwa kukurupuka huyo jamaa si alishawai kuwa meya kinondoni. Huyo jamaa anakaa makumbusho na kashawai gombea na gwajima kura za maoni kawe wakshindwa wote na yule kijana
Wamefaulu kumuondoa Kidata duu
View: https://www.instagram.com/p/C87l5LJNvSW/?igsh=MTA4bXh3cGU5d28xMQ==
Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Hivi kuna watu mnajielewa kweli? Nani alikwambia TRA wanamiliki akauti ya makusanyo kiasi wawe na uwezo wa kuchota pesa? Halafu aunajua Mwenda anatokea wapi?Kaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.
Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.
Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.
Ilikuwa ujiulize kwanza ilikuwaje mtanganyika kwenda ZRAMm sijaelewa naomba msaada hivi inakuwa mzanzibari toka ZRA kwenda TRA kwa hizo ni tasisi za Muungano.?
Swali: Kamishna wa Mapato Zanzibar anateuliwa na nani, sifahamu kabla sijatoa comment yangu. Nafasi yake ataijaza Rais Samia?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Hili si tatizo; kila Mzanzibari ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mzanzibari. Hivyo, Mzanzibari kama Mtanzania mwingine ana haki sawa na Mnyakyusa toka Katumba Songwe.Ilikuwa ujiulize kwanza ilikuwaje mtanganyika kwenda ZRA
How? 👇👇Huyo Mwenda ndo mwendazimu kuliko Kidata. In short wameruka maji wamekanyaga matope. Kanyaga moto twende.
Wanachagua walau walau waliofika hata chuo na mzazi mmojawapo awe ni kwenye "chain" ya kulindana na madili.Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔