Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabalozi hawatakiwi kulipa kodi? Walitozwa kodi zilizo nje ya mfumo wa sheria?Kariakoo si issue iliyomuondoa. Mambo ya Kariakoo mbona yashazoeleka?
Issue iliyomuondoa ni barua ya mabalozi wakilalamikia kodi.
Huyo amepisha uchunguzi, mama Samia huwa hajimwambafai.Kidata amerudishwa ikulu kusoma magazeti ishu yakariakoo imempasukia
USSR
.
Hapana, ujinga upo naturally tu hauhitaji kupewa story hata kama haya matukio yasingetokea bado wajinga wasingejadili mambo serious.AMeisha tengeneza headline ya wiki hii yote ukijumlisha na usajiri wa Chama kazi kwisha, wajinga watajdili wiki nzima wakati huo inatafutwa headline ya next week, Kawatengenewa wajinga wa Taifa hili Mada ya wiki. Wajinga hawatakaa wajadili mambo serious ya hili Taifa.
Maka anajua sana kucheza na akili za wajinga wa hili Taifa.
JapanBw. Alphayo Japan Kidata
Report ikitoka tujulishe mdau.Huyo amepisha uchunguzi, mama Samia huwa hajimwambafai.
Hatosoma magazeti kwa raha, ana mengi sana ya kujibu kwa kazi aliyopewa.
"report" ya nini?Report ikitoka tujulishe mdau.
Umeisoma barua yao?Mabalozi hawatakiwi kulipa kodi? Walitozwa kodi zilizo nje ya mfumo wa sheria ?
Hivi huwa wanalipwa kwa kushauri tu?na wanashauri kitu gani cha maana?Hivi Lukuvi na KalaMaganda bado ni washauri huko huko?
Hiyo Ikulu imejaa washauri!
Huo u spy wake unausaidia nini nchi 😄 😄Kidata once a spy always spy
Mwigulu na bashe bado wapo upuuzi mtupu!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Lucas Mwashambwa hesabu alipata fimbo ya Askofi(F) Anawezaje kupewa jukumu kama Hilo?Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa
Lucas yupo kamati ya mapambio na usifiaji inayofanya kazi moja kwa moja na kamati ya tiba asili na kafara.Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Asante Lucas kwa andiko zuri
Napata raha sana kila nikikuwaza ephen wangu nakupendaa Sanaa lazizi wangu ephenAsante Lucas kwa andiko zuri
Nitakua nalitumia
Na JINSIA yake ni ya kikeYule ni Waziri mzigo,jinsia ndio inambeba tuu
Halikuwa tatizo lakini siku hizi limekuwa tatizo!Hili si tatizo; kila Mzanzibari ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mzanzibari. Hivyo, Mzanzibari kama Mtanzania mwingine ana haki sawa na Mnyakyusa toka Katumba Songwe.