Conte Code
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 227
- 253
.....huyu anaweza kuongea sana...aliyetoka hakuliweza hiliJaffo na biashara wapi na wapi labda wampe michezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....huyu anaweza kuongea sana...aliyetoka hakuliweza hiliJaffo na biashara wapi na wapi labda wampe michezo
Hapa pana mkanganyiko/mashaka matupuAnatokea Zanzibar. Kwasabb kwa shèria za Zanzibar hairuhusiwi mtanganyika kufanya kazi Zanzibar.
Kama unakumbuka hata Charles Hilary afisa mawasiliano ikulu alikiri kuwa mzazi wake mmoja ni mzanzibari ndiyo maana kateuliwa.
Mm sijaelewa naomba msaada hivi inakuwa mzanzibari toka ZRA kwenda TRA kwa hizo ni ndo hivyo sasa
Nani alikwambia kuwa hicho ni kigezo cha kukaa hapo?? Kuna mambo mengi sana, kwenye teuzi hizi, unaweza kuwa unakusanya kidogo sana lakini kuna sehemu wakubwa wanafaidika na wewe, utakaa hapo miaka na miaka, hata hatuelewi tunataka nini hasaWamefaulu kushuka zengwe na Kidata kuondolewa.
Mimi nasubiria mwenendo wa makusanyo TRA
Deputy Commissioners waondolewe faster kurekebisha hali. Na ifuatiwe na mabadiliko ya sheria za kodi na haya matozoKidata hana shida, shida ipo kwa ma deputy commissioners wanaodili na Divisions, natarajia kuona deputy commissioners na mameneja wa hizi divisions wakijiuzulu hawa ndio wanaom lostisha commissioner
Mbona watu wa mkoa wa Mara ni wapigaji sana japokuwa ni watendaji wazuri pia.Huyu ni balozi pia kwa cheo chake hapo ikulu amekulia sana sema upigaji hata jpm alimtimua na kumvua ubalozi ndio maana anaitwa kidata tu kama amedata vile
USSR
Rais wa Zanzibar anaweza kupigwa makofi na kuondolewa ofisini na Rais wa Tanzania. Sasa utajaza kwa upande wa mteuliwa wake.Sasa unamyofoaje mteule wa Rais wa Zanzibar?
Kwa maneno mengine Rais wa Zanzibar ni sawa na RC wa Katavi, isipokuwa kwenye neno RC wakaweka Rais.Rais wa Zanzibar anaweza kupigwa makofi na kuondolewa ofisini na Rais wa Tanzania. Sasa utajaza kwa upande wa mteuliwa wake.
Fafanuaga ngaluKidata kutenguliwa sawa..lakini kwa ukwasi alionao hata angekaa miaka 10 Bila ajira hawezi kuishi kimasikini
Huyu Yusuph Mwenda Hajawahi kuwa Diwani au Meya kwenye Manispaa ya Kinondoni?Au ni majina TU?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Rais Mwinyi wa Zanzibar kabla uraisi huko alikuwa mbunge Tanzania bara unashangaa nini?Huyo jamaa kwani ni mzenji? Mbona kabla ya kuteuliwa huko zenji alikua TRA huku
Wanafiki huwa hawateuliwagi.Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Hizo sheria unafikiri TRA hawashirikishwi?TRA awabuni mbinu za kodi wala hawana mamlaka hayo.
TRA jukumu lao nii wakusanya kodi tu; kwa mujibu wa sheria zilizopo.
Anae amua kodi ni waziri wa fedha
Kumbuka alikuwa Meya pia.Huyo jamaa kwani ni mzenji? Mbona kabla ya kuteuliwa huko zenji alikua TRA huku
Kazi ipi nzur? huyo alie ondolewa alipigiwa kura au aliwekwa na huyo huyo anaye muonda? Hizi ni Headline kwa ajili wa wajinga, unategemea nini kama nchi asilimia 90 ni wajinga?watz sio wajinga
Huyu comm mpya katumwa kilea wakwepa kodi?That’s not how a country is run, it’s just stupidity ni kama vlle nchi aina usalama wa ‘civil service’ just pathetic.
Yaani raisi alee wakwepa kodi kulinda maslahi yake na civil services ikae kimya.
Hakuna usalama wa taifa hapo bali jopo la wajinga tu
Wakipata au wasipate wanaongeza au kupunguza kipato kwenye familia yako?.Kwenye uongozi huu wazee wa kobazi wanapata mashavu kweli kweli
Inasemaje Io Barua MkuuUmeisoma barua yao?