Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Raisi Mwinyi wa Zanzibar kabla uraisi huko alikuwa mbunge Tanzania bara unashangaa nini?
Huyo mtu wa Mbeya huko kabisa, bora hata mwinyi kuna kaukaribu na huko tokea kwa mzee wake, huyo vipi??
 
Mm sijaelewa naomba msaada hivi inakuwa mzanzibari toka ZRA kwenda TRA kwa hizo ni tasisi za Muungano.?
Uko wapi Comrade! Zamani Zanzibar ilikuwa ni koloni la Tanganyika! Ila katika hali ya kushangaza, kuanzia mwaka 2021! Tanganyika ndiyo imegeuka kuwa koloni la Zanzibar.
 
Nilitegemea Mpwayungu Village atateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu kumbe bado,akilamba teuzi mbona Walimu mtakoma
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mbagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
 
20240628_235232.jpg
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Sababu zako zoote nimekataa isipokuwa hiyo namba 3 naweza kuikubali
 
Akili ndogo, gen z wa Tanzania hamna akili, Yusuf Juma Mwenda ni mbongo na alishagombea ubunge kawe akapigwa chini 2020, kabla ya hapo alishawahi kuwa diwani na meya wa hukuhuku Tanganyika so jifunze kabla hujaropoka ujue historia ya mtu. Makalio yako.
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Bara ni shamba la bibi
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Ulitaka aletwe huyu?

 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Unajua ulichokiandika??? Shida mnaendekeza sana chuki hadi mnakua wapumbavu
 
Akili ndogo, gen z wa Tanzania hamna akili, Yusuf Juma Mwenda ni mbongo na alishagombea ubunge kawe akapigwa chini 2020, kabla ya hapo alishawahi kuwa diwani na meya wa hukuhuku Tanganyika so jifunze kabla hujaropoka ujue historia ya mtu. Makalio yako.
…hata angekuwa ni Mzanzibar, maana halisi ya “Mambo yasiyo ya muungano” ni sawa na kusema “Mambo ambayo hayatawahusu wabara”, yaani kutakuwa na mambo yatakayowahusu wote, na kutakuwa na mambo ya “Wazanzibar pekee”. Kwa sababu ya Utanzania wake, Mzanzibar anaingia kila ambapo kuna mambo yanayowahusu wote. Changu changu, chako chetu.
 
Hivi Lukuvi na KalaMaganda bado ni washauri huko huko?

Hiyo Ikulu imejaa washauri!
Ukiona anaambiwa umeamishwa kuwa utaenda ikulu kuwa mshauri wa Rais ujue huyo ni mtu smart sema amekuwa suspended kiuprofesa ili kulinda hadhi yake
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Utavamiwa na Wazenji mpaka utakoma!!

Wamejaa humu wanasubiri kazi za TRA halafu unataka kutia mchanga kitumbua!?
 
Back
Top Bottom