Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Majanga
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-

Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.


Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA). Yusuf Mwenda pia aliwahi kuwa diwani wa Mikocheni na Meya wa Kinondoni kuanzia mwaka 2010/ 2015

Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

Jafo na Kijaji wangekuwa ni wakristo wasingebaki
 
Alinichekesha Chalamila kuwa wafanyabiashara wa Kariakoo wamegoma kwakuwa nyuma yao kuna wanasiasa. Kwa hiyo ameaminisha uma kuwa wanasiasa wa upinzani wanahoja zinazokubalika? Halafu badala ya kutatua Kwa hoja anapenda nguvu itumike.
Chalamila hajawahi kuwa na akili timamu
 
Mimi naona ni mkakatiti wa kuhamisha mali za Zanzibari kuja Zanzibara.
 
Big Mistake . Let us wait and see 1st quarter collection
 
Jaffo anatafutiwa timing tu hii ya kuhamishwa hamishwa soon watamla kichwa akalee wake zake wanne, ila at least yeye Huwa anatumia Common sense kuliko yule Kijaji hakupaswa kabisa kuwa Kiongozi sijui hata hiyo PHD kaipataje.
Phd zinanunuliwa wala si kazi ngumu
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
UMEJAA UBAYA NDANI YA MOYO WAKO NA ROHONI PIA, UMEJAA UBINAFSI WA UTANGANYIKA NA UZANZIBARI, ONDOA PEPO HUYO, BILA KUBADILISHA KIONGOZI, ENDAPO RAIS ANGELIKUWA MBINAFSI ANGESHINDWAJE KUTOA AMRI YA KUPELEKA FEDHA ZANZIBAR?, TUACHE AKILI CHAFU ZA KAMASI, TUWE ZAIDI POSITIVE, NAFASI HII INAHITAJI MZALENDO WA KWELI, NA SI MTANGANYIKA AU MZANZIBAR.
 
Mada ya wajinga wa Taifa hili. Hii hii Plus usajiri wa Yanga na Simba ndio Mada za wiki hii, zikipoa inatafutwa nyingine, yaani wajinga wa hii nchi watengenezee headline za aina hii hakuna watakacho kumbuka.

Mama anacheza na akili za wajinga wa hili Taifa. Mungu tusaidie
Sasa hivi ile aliyekuwa RC wa Simiyu kufumua marinda imeshafunikwa mazimaaa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-

Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.


Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA). Yusuf Mwenda pia aliwahi kuwa diwani wa Mikocheni na Meya wa Kinondoni kuanzia mwaka 2010/ 2015

Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

wa dini ile lazima tuwe wengi! Mzanzibar anakuwa Mkuu wa TRA Tanganyika na TRA is not union matter
 
what ambacho haujui ni kwamba huyo mtu ameshafanya kazi TRA muda tu na alitoka bara kwenda ZRA na nahis ameshawah kuwa meya hapo DSM

next time do your research

huo mda wa kufanya hiyo research anatoa wapi? mioyo yao imeshajaa chuki za kibaguzi
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Kadata inasemekana ana ukuda a la Lema
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Naumia sana mtu mmoja, anahamua kupotosha wenzie. Hasa kwenye mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom