ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masamaki unamkumbuka? Au una dementia?Hivi kuna watu mnajielewa kweli? Nani alikwambia TRA wanamiliki akauti ya makusanyo kiasi wawe na uwezo wa kuchota pesa? Halafu aunajua Mwenda anatokea wapi?
Kwa hiyo Kamishna wa ZRA ametenguliwa na kuteuliwa kuwa Kamishna wa TRA!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Huyu bibi ni WA kufukuzwa magogoni kama Ruto anavyofukuzwa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa illyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
Mhe. Dkt. Selemani Said Jafo (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Jafo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Mhe. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Dkt. Kijaji alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhandisi Yahya Ismail Samamba ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara va Madini. Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Samamba alikuwa Katibu Mendaji wa Tume ya Madini. Mhandisi Samamba anachukua nafasi ya Bw. Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Bw. Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mwenda alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).
Bw. Alphayo Japan Kidata ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais - Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Ndo nakuuliza huyo Mwenda (aliyeteuliwa) sio Mwenda jina anatokea wapi?Masamaki unamkumbuka? Au una dementia?
Usibabaishwe na jina Mwenda, wapo wazanzibari wanaitwa Mwita , Masanja n.k
Mwenda sio mzanzibarMm sijaelewa naomba msaada hivi inakuwa mzanzibari toka ZRA kwenda TRA kwa hizo ni tasisi za Muungano.?
Then swali langu linabaki kuwa validHili si tatizo; kila Mzanzibari ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mzanzibari. Hivyo, Mzanzibari kama Mtanzania mwingine ana haki sawa na Mnyakyusa toka Katumba Songwe.
Mwenda huyu ni mtu wa Mbeya, Meya wa zamani wa KinondoniNdo nakuuliza huyo Mwenda (aliyeteuliwa) sio Mwenda jina anatokea wapi?
Sio kweli mkuu, jamaa alishawahi kuwa meya wa Kinondoni ni mbongo kabisa mkuuKaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.
Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.
Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.
Na hy Yusuph Mwenda ni mtu toka Mbeya, znz aliteuliwa akitokea baraHili si tatizo; kila Mzanzibari ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mzanzibari. Hivyo, Mzanzibari kama Mtanzania mwingine ana haki sawa na Mnyakyusa toka Katumba Songwe.
Sawa sawa mkuuSio kweli mkuu, jamaa alishawahi kuwa meya wa Kinondoni ni mbongo kabisa mkuu
Lucas wako?Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Anatokea Zanzibar. Kwasabb kwa shèria za Zanzibar hairuhusiwi mtanganyika kufanya kazi Zanzibar.Ndo nakuuliza huyo Mwenda (aliyeteuliwa) sio Mwenda jina anatokea wapi?
Aliteuliwa na nani kwenda Zanzibar?Na hy Yusuph Mwenda ni mtu toka Mbeya, znz aliteuliwa akitokea bara
Na Rais wa Hussein Mwinyi , labda utaniuliza kwann Dr Hussein amteue kutoka huku ,sijuiAliteuliwa na nani kwenda Zanzibar?
Kalagabaho. Endelea kukariri tuAnatokea Zanzibar. Kwasabb kwa shèria za Zanzibar hairuhusiwi mtanganyika kufanya kazi Zanzibar.
Kama unakumbuka hata Charles Hilary afisa mawasiliano ikulu alikiri kuwa mzazi wake mmoja ni mzanzibari ndiyo maana kateuliwa.
✅Also Ashatu kijaji need to be out of cabinet, she isn't creative.
Lucas Mwashambwa na Suphian Juma ni kama vifungashio ununuapo kitu dukani. Ni value less itemMna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Kidata amerudishwa ikulu kusoma magazeti ishu yakariakoo imempasukia
USSR