kwann mnapenda uongo ? kila kitu mmekiua baada ya huyo mzee kuondoka , mkaua viwanda , tamuduni pamoja na uadilifu , enz za huyo mzee alijitahid kulinda utamduni wetu ( sio leo vijana mlianza mlegezo mkaja suka mkamaliza kusuka kisha mkapumuliwa kbs ) , pia uadilifu ulikuwa mkubwa sana enzi zake bila kusahau elimu elimu haikuwa na mazingira mazuri ila ilikuwa bora kuliko leo mtoto wa form 2 hajui table wala kusoma kila kitu kuchagua elimu imejaa siasa , ukija kwenye usafiri tuliua meli zaid ya moja kwa ziwa nyasa , hata tanganyika na victoria pia meli ambazo zilifanya kazi enzi za mwalimu , mipango miji ilikuwa swafi enzi za mwalimu ndio maana vijiji vya ujamaa mpk leo vimeacha ramani zinaeleweka tofauti na miji mipya baada ya mzee kuondoka KITUKO NI WALE WANAOTAKA MZEE ANGEJENGA FLYOVER , SGR AU MADARAJA MAKUBWA KTK ENZ AMBAZO UCHUMI WA MTU MMOJA ULIKUWA DUNI SANA , MZEE ALIONDOA GAPE LA ALIYEKUWA NACHO NA ASIYEKUWA NACHO TOFAUTI NA WENZETU KENYA MPK LEO HALI NI MBAYA SABABU MISINGI ILIWARUHUSU WACHACHE WAMILIKI 75% ya uchumi wa nchi huku 25% wakibakia duni