Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Shida aziwezi kuisha kwa mtindo huu.HApo ndo keshawakaripia ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida aziwezi kuisha kwa mtindo huu.HApo ndo keshawakaripia ujue
Hujalala tu weweeeNi hatari hii sasa
Mkuu unaelezea vizuri nakubali ila ukipewa hicho kiti hata wewe hutatenda jinsi unavyoelezea unajikuta tu umebadilika hata wewe unabaki kushangaa. Tatizo ni mfumo na huu mfumo unatakiwa ufumuliwe kama carpet bomb ya Hiroshima ama kama gharika ya Nuhu. Wabaki tu watoto wachache wawekwe kwenye maabara maalum chini ya uangalizi wa karibu wa mjerumani wakichunguzwa na kutafiti bongo zao huku wakikua wanapokea mkong'oto mkali na wa haja kila siku hadi wawe watu wazima waweze kujitawala vizuri.Swala sio kupangiwa, swala ni results orientation. Hakuna mtu anaeweza kwenda eneo moja na kujua changamoto zote, issue sio files anazokuta tu; bali kuna swala la ku-interact nao hao watu, jinsi ya ku-communicate nao na mambo mengine ambayo kuyaelewa yanataka first hand experience na kuja na mbinu sahihi za kutatua hizo changamoto.
Hakuna civil services duniani inayobadilishwa badilishwa ovyo kama ya Tanzania.
Msingi mzima wa local government na kupewa autonomy ni kwa sababu ya kutambua local challenges za maeneo ya nchi hazifanani, priority zinapishana na uongozi unatakiwa kuelewa hayo mambo. Sasa kama kila siku unabadili watu kutakuwa na consistency hapo.
Serikalini hakuna kubembelezana kuna targets na appraisal; mfanyakazi mzuri kutoka chini anaweza panda mpaka wizarani na mfanyakazi mmbovu anatimuliwa sio kuamishwa.
Shida ni uzembe hiyo mifumo yote ya usimamizi waliyonayo waongeze mifumo ipi tena.Mkuu unaelezea vizuri nakubali ila ukipewa hicho kiti hata wewe hutatenda jinsi unavyoelezea unajikuta tu umebadilika hata wewe unabaki kushangaa. Tatizo ni mfumo na huu mfumo unatakiwa ufumuliwe kama carpet bomb ya Hiroshima ama kama gharika ya Nuhu. Wabaki tu watoto wachache wawekwe kwenye maabara maalum chini ya uangalizi wa karibu wa mjerumani wakichunguzwa na kutafiti bongo zao huku wakikua wanapokea mkong'oto mkali na wa haja kila siku hadi wawe watu wazima waweze kujitawala vizuri.
Mara ya mwisho kuangalia kuhusu kodi niliambiwa nimpe Kaisari yaliyo yake.Maana yake ukishalipa kodi inakuwa si yako wewe mlipaji bali ya aliyeipokea.Hata matumizi hapangiwi.Hili swala la teuzi za mara kwa mara na kuhamisha Watendaji ni huo linanikera na huwa nachukuria ni sehemu mojawapo ya matumizi mabaya ya Kodi zetu. Unapo muhamisha Mtendaji kuna gharama za kasafiri yeye mhusika.... Familia (mke na watoto)... Fedha ya usumbufu.... Hii gharama yote serikalini inalipa kupitia Kodi zetu. Hii mifumo yetu inashida sana
PANGA PANGUA KILA SIKU AJIRA HIZI ZITANGAZWE WATU WAOMBE KWA SIFA SIO UCCM11 March 2024
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu usiku huu:
Picha maktaba: ndugu Anamringi Macha
TEUZI NA UHAMISHO :
---
- Naibu Katibu Mkuu wa CCM bara, ndugu Anamringi Macha ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga
- Christina Mndeme kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano (Mazingira) kabla ya hapo alikuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi kama ifuatavyo:
i. Amemteua Bw. Anamringi Macha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Kabla ya uteuzi Bw. Macha alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
ii. Amemteua Bi. Christina Mndeme kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). Kabla ya uteuzi, Bi. Mndeme alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
iii. Amemteua Bw. Japahari Kubecha Mghamba kuwa Mkuu wa Wilaya ya Lushoto. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mghamba alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega.
iv. Amemteua Bw. Mussa Kilakala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Pangani. Kabla ya uteuzi huu Bw. Kilakala alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kaliua.
V. Amemteua Bw. Robert Masunya kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Kabla ya uteuzi huu Bw. Masunya alikuwa Afisa Mwandamizi katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Waanawake na Makundi Maalum.
vi. Amemteua Bi. Mwashabani Mrope kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.
vii. Amemteua Bw. Jacob Simon Nkwera kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Nkwera alikuwa Afisa Mwandamizi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.
viii. Amemteua Bw. Sangai Mambai kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega.
ix. Amemteua Bw. Raymond Mweli kuwa Katibu tawala wa Wilaya ya Kaliua.
X. Amemhamisha Bw. Frederick Damas Dagamiko kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Tanga.
xi. Amemhamisha Bw. Bashir Muhoja kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea.
xii. Amemhamisha Bw. Tito Philemon Mganwa kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Uapisho wa Wakuu wa Mikoa na Naibu Katibu Mkuu utafanyika tarehe 13 Machi, 2024 saa 04.00 asubuhi, Ikulu Dar es Salaam.
View attachment 2932257View attachment 2932258
Ni gharama na kuchezea pesa za umma bureNothing new
Inatuletea gharama za kulipwa fedha za kujikimu na nauli kwa RC, RAS, DC, DED na DAS mmoja siyo chini ya milioni 30Weziwezi wote wafukuzwe.Hii panga pangua haijawahi kuleta maendeleo yoyote.
Mwashambwa si tuliambiwa ni Msigwa?Masikini Mwashambwa !
Tz wanabadilishana kwa maslahi yao tuSwala sio kupangiwa, swala ni results/performance orientation. Hakuna mtu anaeweza kwenda eneo moja na kujua changamoto zote, issue sio files anazokuta tu; bali kuna swala la ku-interact na hao wenyeji, kujifunza jinsi ya ku-communicate nao na mambo mengine ambayo kuyaelewa yanataka first hand experience ili kuja na mbinu sahihi za kutatua hizo changamoto.
Hakuna civil services duniani inayobadilishwa badilishwa ovyo kama ya Tanzania.
Msingi mzima wa local government na kupewa autonomy ni kwa sababu ya kutambua local challenges za maeneo ya nchi hazifanani, priority zinapishana na uongozi unatakiwa kuelewa hayo mambo. Sasa kama kila siku unabadili watu kutakuwa na consistency hapo.
Serikalini hakuna kubembelezana kuna targets na appraisal; mfanyakazi mzuri kutoka chini anaweza panda mpaka wizarani na mfanyakazi mmbovu anatimuliwa sio kuamishwa.
😅😃😀😁HApo ndo keshawakaripia ujue
Ndiyo UkweliTz wanabadilishana kwa maslahi yao tu