Kupiga domo.....Kuna mawaziri wakitenguliwa
Wewe mwenyew unafraid
Kama huyu sijui alikuwa waziri kwa sifa zipi🙂🙂🙂
Hv ni kweli amebadili dini?"Pamoja na kubadili dini ili agombee 2030 kama Mkristo" January ameliwa kichwa!
Tamaa ya Urais inamponza. Angekubali ku-give up mbio za kutaka Urais.
Unakopi vitu vya lee makwinyi.......in politics nothing happens out of mere coincidence,
everythings are normally well planned, organized, scripted and executed in order to achieve specific political objectives ..
on this reshafal,
political goals and objectives are going to easily be achieved soon, if you are aware above the motives of this move🐒
Sio personal attack Mwigulu anazingua kweli. Au ww kidem chake!??Punguza personal attack na chuki binafsi mkuu 😊
Kwa mara ya kwanza nimeona comment ya mtu anayejua siasa za nchi hii. Wametolewa ili wafatilie mtaani kunaendaje, kisha maandalizi yaende inavyotakiwa.Nape na January na kina Kinana si ndio magwiji wa rigging? hawa wameshushwa ili wawe na muda wa kutosha wa kuandaa mpango kazi wa wizi wa kura 2025, Baada ya hapo wanarudi kwenye uwaziri wao
Wapi uliona mtu anakata mishikio ya begi lake la fedha!?Leo ntalala usingizi mororo mahi 😹😹😹
Ila ungenoga na Mr tozo angeleftishwa
He he. Toka ameondoka Mstaafu Kikwete hakuna aliyedumu pale.Kuna kitu wizara ya mambo ya nje
Ikitokea amefariki leo (hypothetically), atazikwa kama marehemu Waziri wa mambo ya nje?Protocol itafuatwa badaye haja kabidhiwa rungu rasmi.
Alitakiwa awe shujaa namna hii kwa muda mrefu uliopita. Hana cha kupoteza keshaweka historia.Kwa tenguzi hizi mbili, naona mwisho mbaya wa Mh. Samia 2025
Dogo wa hovyo sana.Yote kwa yote Nape alijisahau sana, ulevi wa madaraka uliopindukia.
ni wa wapi huyo kwamba yeye pekee ndio anafahamu hivyo?Unakopi vitu vya lee makwinyi.......
Na pia ulisahau kusema wasafi wanawindwaaa!Nilishasema hapa Tz msafi ni TL tu.
Wengine ni wezi tu.
Mkuu February na Nope ilikuwa planned mda tu kuna ishu wamezingua ...tusubiri mengi kwenye uchaguzi ujaoSamia amefanya vizuri sana leo. Kila kiongozi ajue kuna mamlaka !!!! Pia Nape anaenda kuongea ujinga wakati anaona hali ya east Africa ilivyo. Mama kaona isiwe tabu... atawabeba mpaka lini. Unaona walivyomponza dogo byabato.
Ulazima wa kumstaafisha Mbunge ulikuwepo, kwa misingi kwamba, Rais aliona mtu sahihi wa kumteua kuwa Waziri wa Mambo ya Nje alikua sio Mbunge na nafasi za Rais kwa wabunge wa kuteuliwa 10 zilikua zimeisha ,kwahiyo , anayepaswa kuondoka aliona aondoke na Ubunge aachane nao ili kumpa nafasi Rais kuteua waziri kutoka nje ya BungeDuuuh
Wazee wa Goli la Mkono wamewekwa kando.
Najiuliza, kulikuwa na ulazima wowote wa kumstaafisha Mbunge ili kumteua mwingine?
Tunajua Waziri si mtendaji Mkuu wa wizara. Hivyo, ingelikuwa vema yule anayeonekana kufaa angepelekwa kuwa Katibu Mkuu wa wizara husika.