Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
JF kiboko kuna mtu kwenye mada ya naibu waziri kustaafu, akasema ‘bi-tozo’ keshasepa Zanzibar, akitulia tu anatangaza mabadiiko.

Mara paap.

2025 inogile.

Wakumsumbua ‘bi-tozo’ 2025 ni teeth tu, hao Makamba na Napę, mziki wa Nchimbi ndani ya CCM awauwezi.
 
in politics nothing happens out of mere coincidence,

everythings are normally well planned, organized, scripted and executed in order to achieve specific political objectives ..

on this reshafal,
political goals and objectives are going to easily be achieved soon, if you are aware above the motives of this move🐒
Ni kweli kabisa si kwa bahati mbaya haya yametokea ,yamepangwa yaka pika na kuiva.
 
Mtu kapata Div 4 akaenda kusoma City College Bangalore India akili anapata wapi?.
Mwingine ni mwizi wa mitihani Galanos pale sema ana ngekewa.
 
Back
Top Bottom