Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

Sasa, Duh! Au basi.
 
Madonna popote anafiti ila,tu teuzi kila siku
 
inasikitisha sana kumteremsha cheo Makonda, kweli ccm inawenyewe, na ukuu wa mkoa wamemuheshimu ila stering wa mama anataka kumuondoa akakae bench kamtetea sana makufuli
Ile Kauli eti Makonda ni Kama Magufuli imemkosti.

Makonda anaujua Uchafu woote wa Magufuli harafu akikaa jukwani anasifia sifia.....Wamemla kichwa.
 
Duh!...
 
Mimi sina neno wala cha kuandika leo.Maana Mama anatupatia Sapraizi Watanzania Mpaka Unaona Nchi na wananchi wakitetemeka.
Kwani ulitaka uteuzi na wewe? ACHA kwanza kuandika makala ndefu za kipuuzi za kusifia ovyoovyo ambazo zinawakera hata unaowasifia. Zinakuvua nguo tu kuonesha kichwani ulivyo mtupu. Serikalini Kuna watu wenye akili hauwezi hatau-DC. Nakushauri urudi shule tena vyuo hivi UDSM, SUA au Mzumbe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…