Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya

Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya

bloggerboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2017
Posts
568
Reaction score
1,217
IMG-20211204-WA0095.jpg


Pia, soma: Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya
 
Naamini hawa hawapo kwenye lile kundi
 
Naona familia ya Kolimba imekumbukwa
Hivi vitu na hizi nafasi ndo vimewafanya vijana wetu wanapoteza network wakishinda mitandaoni kutetea madudu wakiamini ipo siku watakumbukwa.

kama taifa tupambane tutafute suluhisho la ajira kwa vijana wetu. Tunapoteza vijana kwa kuamini kwamba salama yao iko kwenye teuzi. Kitu ambacho si kweli.
 
Kumbe nafasi ya Sophia Mjema ilikuwa bado haijazibwa Arusha.
 
Hivi vitu na hizi nafasi ndo vimewafanya vijana wetu wanapoteza network wakishinda mitandaoni kutetea madudu wakiamini ipo siku watakumbukwa.

kama taifa tupambane tutafute suluhisho la ajira kwa vijana wetu. Tunapoteza vijana kwa kuamini kwamba salama yao iko kwenye teuzi. Kitu ambacho si kweli.
Vijana wengi humu ni CCM na CHADEMA ,HAYA TUSEME CCM WANASAKA UTEUZI KAMA ULIVYOSEMA ,


VIPI KUHUSU CHADEMA NAVYAMA VINGINE?

#FIKIRI TENA!!!
 
Back
Top Bottom