Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya

Uteuzi: Rais Samia afanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya

Huyu Dadi ni mtoto wa Horace, Huyu Horace kolimba ni nani ? Jina sio geni?
NB:keki ya taifa inaliwa na wachache. Halafu watu maarufu wengi kwa Nini ni ccm? Wanajificha Nini?
Umezaliwa mwaka gani??
 
Hivi vitu na hizi nafasi ndo vimewafanya vijana wetu wanapoteza network wakishinda mitandaoni kutetea madudu wakiamini ipo siku watakumbukwa.

kama taifa tupambane tutafute suluhisho la ajira kwa vijana wetu. Tunapoteza vijana kwa kuamini kwamba salama yao iko kwenye teuzi. Kitu ambacho si kweli.
Ukweli mtupu. Lakini je watakuelewa?
 
Udc ni Kama uhousegirl siku hizi hata watu wa bongo movie kama mchopanga wanateuliwa
 
Naona familia ya Kolimba imekumbukwa
Niliwahi kuweka Post humu ikisema viongozi wa CCM hawafi milele, Post ilijikita kwenye watoto, wajukuu na vitukuu kurithishwa madaraka ndani ya chama na serikali, hali ndiyo hii mnayoiona.
 
Back
Top Bottom