Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Rais wa teuzi na kulalamika kila siku hii nchi ni ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mwenyewe unalalamika!.Rais wa teuzi na kulalamika kila siku hii nchi ni ngumu sana
Huyu Dadi ni mtoto wa Horace, Huyu Horace kolimba ni nani ? Jina sio geni?Majina yale yale (Horace Kolimba). Hongera! Wakongwe mmenielewa.
Rais wa teuzi na kulalamika kila siku hii nchi ni ngumu sana
Kabla ya uteuzi, Dadi alikuwa mtoto wa marehemu Horace Kolimba. Ipo siku tutasikia mtoto wa Mukama, Bashiru n.kMajina yale yale (Horace Kolimba). Hongera! Wakongwe mmenielewa.
Kabla ya uteuzi, Dadi alikuwa mtoto wa marehemu Horace Kolimba. Ipo siku tutasikia mtoto wa Mukama, Bashiru n.k
🤣🤣🤣🤣🤣Dadi Horace Kolimba...bila shaka ni kizazi kile kile cha kambale...
Mkuu ndiyo hivyo ni connection hiyo hiyo inakufanya uende mahakamani kila siku kuwa karibu na Mwamba- omba tu akipata gurudumu la kikazi chako nalo litaanza kuzungukaKabla ya uteuzi, Dadi alikuwa mtoto wa marehemu Horace Kolimba. Ipo siku tutasikia mtoto wa Mukama, Bashiru n.k
Huyu Dadi ni mtoto wa Horace, Huyu Horace kolimba ni nani ? Jina sio geni?
NB:keki ya taifa inaliwa na wachache. Halafu watu maarufu wengi kwa Nini ni ccm? Wanajificha Nini?
Dah, nina wivu hakika. Katika ukoo wangu hatuna mtu aliyewahiteukiwa popote ktk chi hii.
Huyu Dadi namfahamu sana. Ni mtu mwema sana
Yaani. Akina sie Sexless sijui siyo raia wa taifa hili?Majina yale yale (Horace Kolimba). Hongera! Wakongwe mmenielewa.
Wanasaka haki za watanzaniaVijana wengi humu ni CCM na CHADEMA ,HAYA TUSEME CCM WANASAKA UTEUZI KAMA ULIVYOSEMA ,
VIPI KUHUSU CHADEMA NAVYAMA VINGINE?
#FIKIRI TENA!!!
From mtendaji kijiji to DC hyo nayo ni hatua hongera kwake
NGOs /CBOs tuko wataalamu tunaangalia mambo yanavoendaWao wanaita connection. Kama hauna hiyo Bongo, utakufa tu hivyo hivyo. Ndio maana mimi nikaamua kujikita kwenye NGOs. Akili na ujuzi wako tu vinahitajika.