Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Unaongelea umaskini upikwanini viongozi wanaochaguliwa karibu wote baba zaowalikuwa viongozi au mama zao hivi hakuna viongozi wazuri waliomaliza chuo watoto wa masikini
NGOs /CBOs tuko wataalamu tunaangalia mambo yanavoenda
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Wasipoiba watakuwa mafala. Usipoiba awamu hii utaiba awamu ipi tena!?KAZIIENDELEE, Kachapeni kazi msiibe tu
Ongezea, nape, makamba, lusinde, Riziwani, vita kawawa, Fred lowassaDadi Horace Kolimba...bila shaka ni kizazi kile kile cha kambale...
Ni ukoo wa panya!!Dadi Horace Kolimba...bila shaka ni kizazi kile kile cha kambale...
Doooh kusikute alidanganywa kuwa akihama atapewa uDcBananga atanuna kweli kweli.
Mbona imo sikuzote, yumo mmama Kolimba kiongozi ndani ya CCM.Naona familia ya Kolimba imekumbukwa
Umezaliwa mwaka gani??Huyu Dadi ni mtoto wa Horace, Huyu Horace kolimba ni nani ? Jina sio geni?
NB:keki ya taifa inaliwa na wachache. Halafu watu maarufu wengi kwa Nini ni ccm? Wanajificha Nini?
Ukweli mtupu. Lakini je watakuelewa?Hivi vitu na hizi nafasi ndo vimewafanya vijana wetu wanapoteza network wakishinda mitandaoni kutetea madudu wakiamini ipo siku watakumbukwa.
kama taifa tupambane tutafute suluhisho la ajira kwa vijana wetu. Tunapoteza vijana kwa kuamini kwamba salama yao iko kwenye teuzi. Kitu ambacho si kweli.
Niliwahi kuweka Post humu ikisema viongozi wa CCM hawafi milele, Post ilijikita kwenye watoto, wajukuu na vitukuu kurithishwa madaraka ndani ya chama na serikali, hali ndiyo hii mnayoiona.Naona familia ya Kolimba imekumbukwa
Sabaya na Makonda je?kwanini viongozi wanaochaguliwa karibu wote baba zaowalikuwa viongozi au mama zao hivi hakuna viongozi wazuri waliomaliza chuo watoto wa masikini
Mwaka janaUmezaliwa mwaka gani??