Uteuzi: Rais Samia afanya teuzi mbalimbali za Wenyeviti wa Bodi/Baraza la Chuo na Watendaji Wakuu wa Taasisi. Balozi Sefua na Eliachim Maswi ndani

Uteuzi: Rais Samia afanya teuzi mbalimbali za Wenyeviti wa Bodi/Baraza la Chuo na Watendaji Wakuu wa Taasisi. Balozi Sefua na Eliachim Maswi ndani

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798

Rais Samia afanya teuzi mbalimbali za Wenyeviti wa Bodi/Baraza la Chuo na Watendaji Wakuu wa Taasisi. Balozi Sefua na Eliachim Maswi ndani​


IMG_20220521_001622_685.jpg
IMG_20220521_001625_813.jpg
 
Huyu mama kazi yake ni kuturudishia wazee na vikongwe waliochoka kwenye nafasi serikalini.

Unashindwa kuewa kila siku majina ni yale yale common as if kwamba bila hao jamaa hii nchi haiwezi kwenda.

Maswi yuko pale NBAA, anaelekea kustaafu.

Ifike wakati huyu mama na genge lake na wezi linalomdanganya waelewe kua nchi hii ni ya watanzania wote sio kikundi flani cha watu.
 
Uyu Dr. Irene issaka,

SI ndo yule dada wa kikokotoz,magufuli alijifanya kamtumbua hadharani kwa hasira.

Kumbe kimya kimya,
alikwenda kumpachika PPRA ale maisha.

Hii nchi hii[emoji848]


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu aliteuliwa na Samia mwaka jana kwenye hiyo idara. Magufuli alikua amemtapika mazima.
 
Uyu Dr. Irene issaka,

SI ndo yule dada wa kikokotoz,magufuli alijifanya kamtumbua hadharani kwa hasira.

Kumbe kimya kimya,
alikwenda kumpachika PPRA ale maisha.

Hii nchi hii[emoji848]


Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa naelewa why hii nchi tunafeli, huyu mtu alikua reject kabisa ila anazunguka tatizo ni yule mzee wa…aliyemleta!
 
Back
Top Bottom