Uteuzi: Rais Samia amrudisha Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)

Uteuzi: Rais Samia amrudisha Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)

Naona watu wale wale wanarudi kula keki ya Taifa.

Juzi nilipoona NHC imepewa kibali cha kukopa nikajua hapa kuna jambo.

Ni maisha yale yale watu wale wale utafikiri nchi hii haina watu wengine.

Wenye nacho wataongezewa na wasio nacho tutanyang'qnywa hata kidogo tulicho nacho.
Aisee yaani . . . . .
 
Huyu mama yetu kuna mtu kamshikia mpini kama ilivyo desturi ya wanawake wote duniani. Mwanamke hawezi ongoza nyumba tuache masikhara.
 
Ni kweli kabisa kwani niliwahi kufanyakazi naye Tasisi binafsi ni mtu mzuri kiutendaji.
Yaani hii team Mchechu, Laurance Mafuru, Maharage Chande, Sabasaba Moshingi, Gratis Sakaya, Herald Mutalemwa, Ruth Zaipuna, Davis Mkony , Allelio Lowassa na Herry Boman hawa watu sí mchezo kwa utendaji.
Umesahau Amina Kassimu enzi zake LAPF ilikuwa powerful na mkombozi wa watumishi wa private sector
 
Sasa ndio mjue kuwa huu sio utawala wa Samia bali mjomba wa Msoga!! Wale wote aliyofanya nao ufisadi wanarudishwa kama njia ya kumdhalilisha Jiwe!! Tungoje na Mattaka kurudi ATCL!!
Umesema yote. Msoga's regime.
 
NHC kitu gani? watu binafsi wana uwezo kujenga shirika kubwa kuliko NHC, mahitaji ya nyumba bongo ni makubwa kuliko mahitaji, tuamke sasa kuna fursa za kutosha bongo kuliko hizi teuzi za kisiasa
 
Sasa ndio mjue kuwa huu sio utawala wa Samia bali mjomba wa Msoga!! Wale wote aliyofanya nao ufisadi wanarudishwa kama njia ya kumdhalilisha Jiwe!! Tungoje na Mattaka kurudi ATCL!!
Mattaka umri unamkataa, ana miaka 70 tayari.
 
Ni kweli kabisa kwani niliwahi kufanyakazi naye Tasisi binafsi ni mtu mzuri kiutendaji.
Yaani hii team Mchechu, Laurance Mafuru, Maharage Chande, Sabasaba Moshingi, Gratis Sakaya, Herald Mutalemwa, Ruth Zaipuna, Davis Mkony , Allelio Lowassa na Herry Boman hawa watu sí mchezo kwa utendaji.
Usilete sifa za uongo . Huyo Herry Bomani si alifukuzwa Kenya Commercial Bank? Unazijua sababu zilifanya akafukuzwa? Mtendaji mzuri hafukuzwi kazi.
 
Ni kweli kabisa kwani niliwahi kufanyakazi naye Tasisi binafsi ni mtu mzuri kiutendaji.
Yaani hii team Mchechu, Laurance Mafuru, Maharage Chande, Sabasaba Moshingi, Gratis Sakaya, Herald Mutalemwa, Ruth Zaipuna, Davis Mkony , Allelio Lowassa na Herry Boman hawa watu sí mchezo kwa utendaji.
Maharage Chande ? Huyu wa TANESCO ya kukatika umeme ?
 
Nehemia Mchechu alifanya kazi yake vizuri sana alipo kuwa kwenye nafasi yake hii hapo awali lkn inaonekana kuna mahali alikosea hivyo anapaswa awe makini sana kuepuka makosa aliyo yafanya na kupelekea kutoaminika na kuondolewa.

Haswa ubadhirifu wa fedha za shirika, ufujaji na upendeleo.
watanzania hawapendi kusikia vitu hivi hata kidogo.
Hongera kwake na pole.
 
Back
Top Bottom