Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Aisee yaani . . . . .Naona watu wale wale wanarudi kula keki ya Taifa.
Juzi nilipoona NHC imepewa kibali cha kukopa nikajua hapa kuna jambo.
Ni maisha yale yale watu wale wale utafikiri nchi hii haina watu wengine.
Wenye nacho wataongezewa na wasio nacho tutanyang'qnywa hata kidogo tulicho nacho.
Umesahau Amina Kassimu enzi zake LAPF ilikuwa powerful na mkombozi wa watumishi wa private sectorNi kweli kabisa kwani niliwahi kufanyakazi naye Tasisi binafsi ni mtu mzuri kiutendaji.
Yaani hii team Mchechu, Laurance Mafuru, Maharage Chande, Sabasaba Moshingi, Gratis Sakaya, Herald Mutalemwa, Ruth Zaipuna, Davis Mkony , Allelio Lowassa na Herry Boman hawa watu sí mchezo kwa utendaji.
Wakinga ni hard worker kariakoo wamejaaa wanamiliki magorofaMchechu ni Mkinga kaenda kutoa chozi uko Makete milimani naona chozi lake limejibu, anaenda kufuta vumbi kwenye kiti chake sasa
Yuko hazinaBado Lawrence Mafuru Genious wa Wakati woote apewe shavu pale BOT au PSSSF au TIB akimbize maisha na ufanisi wa kazi.
Umesema yote. Msoga's regime.Sasa ndio mjue kuwa huu sio utawala wa Samia bali mjomba wa Msoga!! Wale wote aliyofanya nao ufisadi wanarudishwa kama njia ya kumdhalilisha Jiwe!! Tungoje na Mattaka kurudi ATCL!!
Mattaka umri unamkataa, ana miaka 70 tayari.Sasa ndio mjue kuwa huu sio utawala wa Samia bali mjomba wa Msoga!! Wale wote aliyofanya nao ufisadi wanarudishwa kama njia ya kumdhalilisha Jiwe!! Tungoje na Mattaka kurudi ATCL!!
Una ushahidi? Au stori za kijiweni?tuseme ukweli,baada ya Mchechu kuondolewa NHC shirika lilijifia zake
Alisha teuliwa ni naibu katibu mkuu Sera, MOFBado Lawrence Mafuru Genious wa Wakati woote apewe shavu pale BOT au PSSSF au TIB akimbize maisha na ufanisi wa kazi.
Kwa sababu gani analiharibuHuyu Bibi analiharibu hili taifa.
Anaweza kuwa Mwenyekiti wa board!Mattaka umri unamkataa, ana miaka 70 tayari.
Usilete sifa za uongo . Huyo Herry Bomani si alifukuzwa Kenya Commercial Bank? Unazijua sababu zilifanya akafukuzwa? Mtendaji mzuri hafukuzwi kazi.Ni kweli kabisa kwani niliwahi kufanyakazi naye Tasisi binafsi ni mtu mzuri kiutendaji.
Yaani hii team Mchechu, Laurance Mafuru, Maharage Chande, Sabasaba Moshingi, Gratis Sakaya, Herald Mutalemwa, Ruth Zaipuna, Davis Mkony , Allelio Lowassa na Herry Boman hawa watu sí mchezo kwa utendaji.
Maharage Chande ? Huyu wa TANESCO ya kukatika umeme ?Ni kweli kabisa kwani niliwahi kufanyakazi naye Tasisi binafsi ni mtu mzuri kiutendaji.
Yaani hii team Mchechu, Laurance Mafuru, Maharage Chande, Sabasaba Moshingi, Gratis Sakaya, Herald Mutalemwa, Ruth Zaipuna, Davis Mkony , Allelio Lowassa na Herry Boman hawa watu sí mchezo kwa utendaji.
Eti eeh . . . Mbona kina Kavishe na kina Fimbo Buttalah hamuwaoni ? Shame on youSafi sana Samia. Tunahitaji big brains kuendesha taasisi nyeti.
Bado Dr Ramadhani Dau arudi kuendesha Bandari au NSSF au TRA
Umeona mambo yalivyoenda fasta fasta ?NHC walipewa kibali cha kukopa Bilioni 175 ili kumalizia miradi yake 2 moja ya Kawe na ya pili ya Morocco.
Hahahahaaaaa . . . . Nimecheka sana aiseeAngempeleka UKRAINE tufungue ubalozi huko akaone jinsi watu wanazuia vifaru kwa mkono
Hahahahaaaa . . . kweli fixed cost haifanani na fixed conductorakae huko arudi baada ya uchaguzi 2025