mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ehh okkkPia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Wasalimie wakina mihayo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ehh okkkPia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Chenge itakua anatokea nyanda za juu kusini na yule kijana wake aliyekua waziri wa nishati kipindi cha mkapa 😃Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Mzee wa Vijisenti ni Msukuma wa Bariadi kama Mzee Mapesa, ni Wanyantuzu, mabinti wao ni weupe hivyo mang'ombe kede kede!.Chenge itakua anatokea nyanda za juu kusini na yule kijana wake aliyekua waziri wa nishati kipindi cha mkapa 😃
Ngeleja nae 😃Mzee wa Vijisenti ni Msukuma wa Bariadi kama Mzee Mapesa, ni Wanyantuzu, mabinti wao ni weupe hivyo mang'ombe kede kede!.
P
Kule kule!.Ngeleja nae 😃
Adam Mihayo, kijana cool tangu alipokuwa kuwa seminari mdogo ya Mt. PETRO MOROGORO (kichwani yupo vizuri kwa maana, Academically kuanzia 0 level alipasua hasa, kadhalika na A - level alipasua fresh likewise), pia hana makando kando ya kutisha, nadhani ni Chaguo/teuzi sahihi na ataenda kufanya vyema katika nafasi aliyoteuliwa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB).
Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania.
Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Novemba, 2023
View attachment 2820916
View attachment 2820919
Kama Mihayo ni mtenda kazi mzuri kongole kwake lakini siyo kweli kwamba watu wa kanda ile siyo wezi na akati huko ndiko akina JOKA la makengeza a.k.a mzee wa vijisent anakotokeaWasukuma ni wachapakazi sana alafu siyo wezi. Hongera Mihayo
Nadhani umeandika kwa mhemko, unaweza cheki performance ya NMB tena chini ya mwanamama Mtanzania then ndio uandike haya maneno yako ndugu.Benki zote za serikali hamna ya maana hata moja.
Wasukuma na wanyamwezi ni wale wale tu wote ni watanzania !!Mihayo ni wanyamwezi, wacha kudanganya watu humu. Tangu lini mnyamwezi ni Musukuma? Au ukishaona mtu ameteuliwa na Rais tayari ni Musukuma?! Hii siyo awamu 5
Hiyo siyo ya serikali 100%. Serikali ni mwana hisa tu. Na kwa miaka mingi uongozi na nina hakika hata sasa hauko chini ya serikali. Hamna benki ya serikali ya maana hata moja.Nadhani umeandika kwa mhemko, unaweza cheki performance ya NMB tena chini ya mwanamama Mtanzania then ndio uandike haya maneno yako ndugu.
Hata nmb?...Benki zote za serikali hamna ya maana hata moja.
Hivi aliyekuwa Mkurugenzi pale ndugu 77 Moshingi katemwa au kastaafu ?
Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Mstaafu. Ndiye aliyemtengeneza pia the current MD.
Mmmmmh! Kwani tumefika huku mkuu! 😄Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P