UTEUZI: Rais Samia Amteua Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB)

Kule kule Kanda pendwa, Kanda tegemewa kwa utajiri wa JMT, Kanda determinant ya mshindi wa urais wa JMT!.
P
Yeah nilikuwa najaribu kukumbuka wasukuma walijaribu kuiba, kama huyo na hata William Ngeleja, Chenge licha ya kukataa lakini bado Watanzania wanamuita fisadi.

Anyway, Nakubaliana na wale wasemao Kabila siyo factor bali ni uadilifu wa mtu binafsi. Kwasababu Kanda ya ziwa Mwanza,Shinyanga,Tabora na Geita kuna Majambazi na vibaka pia. Ukija serikalini wapo pia wadokozi.
 
Anyway, Nakubaliana na wale wasemao Kabila siyo factor bali ni uadilifu wa mtu binafsi. Kwasababu Kanda ya ziwa Mwanza,Shinyanga,Tabora na Geita kuna Majambazi na vibaka pia. Ukija serikalini wapo pia wadokozi.
Hakuna majambazi ya Kisukuma!, Kanda ya Ziwa pia inajumuisha wale majirani zetu, ndio majambawazi!,
P
 
Hakuna majambazi ya Kisukuma!, Kanda ya Ziwa pia inajumuisha wale majirani zetu, ndio majambawazi!,
P
Hahaha unabahati mbaya nami nimewahi kuishi huko, Majambazi mengi sana na mengi yalikimbilia visiwani huko kuanzia JUma,Biswa, Mchangani-KOme na visiwa vingine huko ziwa victoria. Nafahamu muingiliano uliopo, kuanzia mikoa ya Mara na kagera, lakini haiondoi ukweli kwamba Wasukuma majambazi wapo wengi tu.
Tean sasa wengi waliamini dawa za kulee gambosh.
 
Wasukuma ni wachapakazi sana alafu siyo wezi. Hongera Mihayo
wasukuma ni washamba na wakabila ndiyo maana mnabaki kuokoteza majina. Majinga tu nyie hamtakaa mstaarabike, karne ya leo mtu unakimbilia kuangalia jina la ukoo na ulivyokuwa hujitambui kuwa we ni lofa unajianika humu. Nenda usukumani uone umaskini uliovyotamalaki halafu urudi kutueleza huo upuuzi wako. Mtu yoyote anayetumia ukabila ktk jambo lolote ni mtu dhaifu sana
 
cc Maghayo
 
Pia ni watu waaminifu sana!, hiwezi kusikia Msukuma ni mla rushwa au ni fisadi!.
P
Chenge ni kabila gani, mafisadi wametokea kabila gani. Ndiyo maana nikasema msukuma hata asome vipi hawezi kuelimika, tazama mtu km wewe kwasababu tu ya ukabila unatoa hoja ya hovyo km hii. Nyie ni genge la mazuzu mnaojidanganya kwenye vikao vyenu. Magufuli alikuwa fisadi mkubwa, hakuwa msukuma?
 
Mihayo ni wanyamwezi, wacha kudanganya watu humu. Tangu lini mnyamwezi ni Musukuma? Au ukishaona mtu ameteuliwa na Rais tayari ni Musukuma?! Hii siyo awamu 5
Hujawahi kumsikia Jaji Mihayo wewe? Nani alikwambia Jaji Mihayo ni Mnyamwezi?
 
Futeni kabila moja tujue moja. Aliyesema huyu ni mnyamwezi na huyu ni Musukuma hakukosea
wanyantuzu sio wasukuma? kiufupi wanyamwezi ,wanyantuzu wote hao ni jamii ya wasukuma ni kama kusema warombo, wakibosho wote ni wachaga
 
wanyantuzu sio wasukuma? kiufupi wanyamwezi ,wanyantuzu wote hao ni jamii ya wasukuma ni kama kusema warombo, wakibosho wote ni wachaga
Profesa Lipumba ni Msukuma? Nijibu kwanza hapo.
 
Chenge walimsingizia tuu ni lawyer wa Havard hivyo zile pesa nyie mnaona nyingi kwake vile ni vijisenti tuu!.
Yule mwingine sio Msukuma!.
P
 
ndio, profesa lipumba akiongea kinyamwezi Mimi namuelewa na Mimi nikiongea kinyantuzu tunaekewana kiufupi sisi ni jamii ya wasukuma
Ok. Ahsante kwa elimu murua. Msukuma halisi ni yupi sasa?! Kuna mtu aliniambia wasukuma halisi ni wasumbwa. Ni kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…