Uteuzi: Rais Samia amteua Dkt. Ally Milanzi kuwa Naibu Katibu Mkuu Tume ya Mipango masuala ya Mipango ya Kitaifa

Uteuzi: Rais Samia amteua Dkt. Ally Milanzi kuwa Naibu Katibu Mkuu Tume ya Mipango masuala ya Mipango ya Kitaifa

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610

1717013338219.png

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika nafasi tofauti tofauti.

Katika kuonyesha kuwa halali wala kupumzika wala kupoteza muda ameweza kuwateua viongozi takribani sita katika nafsi mbalimbali usiku huu.

Ambapo katika uteuzi huo amemteua dkt Milanzi kuwa Naibu katibu Mtendaji , Tume ya mipango atakayeshughulikia mipango ya kitaifa.

Amemteua Pia Daktari Lorah Basolile Madete kuwa Naibu katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya ubunifu wa Biashara.

Amemteua pia Dkt Linda Ezekiel kuwa Naibu Katibu Mkuu ,Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Menejimenti ya utendaji na Tathmini.

Chanzo cha taarifa yangu ni kutoka kwa Mkurungezi wa Mawasiliano ya Rais ikulu, Zuhura Yunusi,ambaye amesambaza taarifa hiyo kwa umma na vyombo vya habari.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.mam ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika nafasi tofauti tofauti.

Katika kuonyesha kuwa halali wala kupumzika wala kupoteza muda ameweza kuwateua viongozi takribani sita katika nafsi mbalimbali usiku huu.

Ambapo katika uteuzi huo amemteua dkt Milanzi kuwa Naibu katibu Mtendaji , Tume ya mipango atakayeshughulikia mipango ya kitaifa.

Amemteua Pia Daktari Lorah Basolile Madete kuwa Naibu katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya ubunifu wa Biashara.

Amemteua pia Dkt Linda Ezekiel kuwa Naibu Katibu Mkuu ,Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Menejimenti ya utendaji na Tathmini.

Chanzo cha taarifa yangu ni kutoka kwa Mkurungezi wa Mawasiliano ya Rais ikulu, Zuhura Yunusi,ambaye amesambaza taarifa hiyo kwa umma na vyombo vya habari.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.mam ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asante sana mkuu kwa taarifa
 

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika nafasi tofauti tofauti.

Katika kuonyesha kuwa halali wala kupumzika wala kupoteza muda ameweza kuwateua viongozi takribani sita katika nafsi mbalimbali usiku huu.

Ambapo katika uteuzi huo amemteua dkt Milanzi kuwa Naibu katibu Mtendaji , Tume ya mipango atakayeshughulikia mipango ya kitaifa.

Amemteua Pia Daktari Lorah Basolile Madete kuwa Naibu katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya ubunifu wa Biashara.

Amemteua pia Dkt Linda Ezekiel kuwa Naibu Katibu Mkuu ,Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Menejimenti ya utendaji na Tathmini.

Chanzo cha taarifa yangu ni kutoka kwa Mkurungezi wa Mawasiliano ya Rais ikulu, Zuhura Yunusi,ambaye amesambaza taarifa hiyo kwa umma na vyombo vya habari.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.mam ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tume ya, mipango, Presidential delivery bureau, nimeona kuna cheo mtu ni mkuu wa idara ya ubunifu wa biashara! Unaweza ukakuta tangu ameajiliwa, hakuna kitu cha maaana alichobuni, zaidi namna ya kupiga per diem!
Hv haka ka nchi kanafikiri kwamba, biashara kama samsung, Facebook, Tesla, viwanda vya siraha US, KFC, TATA, Toyota, BMW, General Motors, zilibuniwa na academic Ian's/wanasiasa, watumishi, wa serikali?
Hii ilibidi iwe think tank, ya kutunga Sera Bora za uchumi, sio, huu upuuzi
 
Tume ya, mipango, Presidential delivery bureau, nimeona kuna cheo mtu ni mkuu wa idara ya ubunifu wa biashara! Unaweza ukakuta tangu ameajiliwa, hakuna kitu cha maaana alichobuni, zaidi namna ya kupiga per diem!
Hv haka ka nchi kanafikiri kwamba, biashara kama samsung, Facebook, Tesla, viwanda vya siraha US, KFC, TATA, Toyota, BMW, General Motors, zilibuniwa na academic Ian's/wanasiasa, watumishi, wa serikali?
Hii ilibidi iwe think tank, ya kutunga Sera Bora za uchumi, sio, huu upuuzi
Tulia maana mambo mazuri yanakuja
 
Back
Top Bottom