Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Jamaa alikuwa anajilipa pesa za kutisha huyu, mpaka Jpm aliweweseka!
 
Wala huhitaji Akili kubwa kujua kuwa Teuzi hizi zina Baraka na Maelekezo yote kutoka Msoga Chalinze.

Baada ya Kumteua Mwanae Ardhi sasa ameteuliwa mwana Mtandao mwingine hapo NHC ili Chemistry ya Upigaji na kuhakikisha Miradi muhimu ya Mstaafu inaenda kama alivyoipanga.

Nina neno moja tu kwa Polepole kwamba ajitahidi Kudadisi ni kwanini Watu ambao huwa ni Critical na Controversial hasa katika Siasa za nchini huteuliwa kuwa Mabalozi na baada ya muda mfupi huugua Ugonjwa wa Kupooza lakini pia huwa hawadumu sana Maishani.
Kama Jaka Mwambi?
 
Polepole kamuenzi JPM,kabaki na ulimi mmoja mpaka sasa,na hatimaye kaula.

IMG_2052.jpg

Ulimi upi huo uliobaki boss…!?
 
Samia anatupeleka kule ambako KIKWETE hakutufikisha!!! Karibuni wavaa nguo za kijani mtaanza kupigwa mawe mitaani tena!!
Ogopa sana ukiwa Mvivu wa Kufikiri halafu akajitokeza Muhuni kutaka Kukusaidia nawe ukamkubalia lazima atakuponza na hata Kukupoteza pia.
 

POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?​

Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?​

Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.​

JPM kichwani alikua mzito, Ndio maana madini alikua anayatupa ajachukua vilaza anaowazidi Akili mfano Polepole na Bashiru .

Mama Ni Smart
 
Hivi Malawi Si anaenda hata Kwa Boda Boda kutokea hapo kwao Njombe
 

Maprofesa wa chuo kikuu cha Dar es salaam ninaomba mnieleweshe hili jambo:-​

Kuna watu waliteuliwa na JK akiwa Rais, alipoingia JPM watu hao walifukuzwa wote, sasa ameangia Samia anawarudisha wote waliofukuzwa na JPM ila walikuwa wameteuliwa na JK kabla.​

Swali la msingi ni nani anamshauri Samia kuteua tena waliokuwa wameteuliwa na JK ila walifukuzwa na JPM?​

Katiba ya Tanzania inamruhusu Rais SSH kuchagua mtu yoyote Bara au Visiwani kama ilivyomruhusu JPM.
 
Nehemiah wakati wake wakurugenzi wa NHC walikuwa wanalamba 40m........
Hiyo ndiyo ilikuwa sababu. Wakati ule kila DG su CEO akipata mshahara huo, Mkuu alikuwa anakasirika sana na akaifyeka yote. " kwa kazi gani anayofanya?" Aliuliza. As such Nehemiah is very smart upstairs.
 
Kwenye nchi hii maskini hakuna mtumishi wa umma anayepaswa kulipwa milioni 30, awe smart upstairs au downstairs.
Hiyo ndiyo ilikuwa sababu. Wakati ule kila DG su CEO akipata mshahara huo, Mkuu alikuwa anakasirika sana na akaifyeka yote. " kwa kazi gani anayofanya?" Aliuliza. As such Nehemiah is very smart upstairs.
 
Why?
Au kwa kuwa si wewe?
Kwa sababu kuna wanafunzi wengi hawana walimu wa masomo ya sayansi shuleni na raia wengi wanaosafiri mamia ya kilometa kumfuata general doctor tu.
 
Kwa sababu kuna wanafunzi wengi hawana walimu wa masomo ya sayansi shuleni na raia wengi wanaosafiri mamia ya kilometa kumfuata general doctor tu.
Ajira zilikoma wakati wa JPM! Uliwahi kumuuliza ni kwa sababu gani? Au umeambiwa mshahara hiyo ndiyo inafanya kusiwe na walimu na madaktari?
 
Samia aangalie sura mpya.
Huyo pole pole ana ubunge inatosha.
Atajigawa vipi?
 
Back
Top Bottom