Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Jamaa alikuwa anajilipa pesa za kutisha huyu, mpaka Jpm aliweweseka!Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa anajilipa pesa za kutisha huyu, mpaka Jpm aliweweseka!Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Kama Jaka Mwambi?Wala huhitaji Akili kubwa kujua kuwa Teuzi hizi zina Baraka na Maelekezo yote kutoka Msoga Chalinze.
Baada ya Kumteua Mwanae Ardhi sasa ameteuliwa mwana Mtandao mwingine hapo NHC ili Chemistry ya Upigaji na kuhakikisha Miradi muhimu ya Mstaafu inaenda kama alivyoipanga.
Nina neno moja tu kwa Polepole kwamba ajitahidi Kudadisi ni kwanini Watu ambao huwa ni Critical na Controversial hasa katika Siasa za nchini huteuliwa kuwa Mabalozi na baada ya muda mfupi huugua Ugonjwa wa Kupooza lakini pia huwa hawadumu sana Maishani.
Polepole kamuenzi JPM,kabaki na ulimi mmoja mpaka sasa,na hatimaye kaula.
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia
Ogopa sana ukiwa Mvivu wa Kufikiri halafu akajitokeza Muhuni kutaka Kukusaidia nawe ukamkubalia lazima atakuponza na hata Kukupoteza pia.Samia anatupeleka kule ambako KIKWETE hakutufikisha!!! Karibuni wavaa nguo za kijani mtaanza kupigwa mawe mitaani tena!!
JPM kichwani alikua mzito, Ndio maana madini alikua anayatupa ajachukua vilaza anaowazidi Akili mfano Polepole na Bashiru .POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI… kuteuliwa tarehe 14.3.2022 kuapishwa tarehe 15.3.2022 ?
Kwanini ni dharura hivyo? Msechu wa NHC alifukuzwa na JPM na Samia leo anapewa nafasi ile ile na Samia?
Mwenye kufahamu Samia anakutupeleka anielewesha tafadhali, mimi ninaona kama tunapotea njia.
Usiku mmoja kwenye siasa ni mrefu. Bado masaa machachePole pole ni mtu mwenye misimamo.
Pole pole ni mtu mwenye kujiamini
Kesho hataoneksna Ikulu. Trust me
wacha tuoneUsiku mmoja kwenye siasa ni mrefu. Bado masaa machache
Katiba ya Tanzania inamruhusu Rais SSH kuchagua mtu yoyote Bara au Visiwani kama ilivyomruhusu JPM.Maprofesa wa chuo kikuu cha Dar es salaam ninaomba mnieleweshe hili jambo:-
Kuna watu waliteuliwa na JK akiwa Rais, alipoingia JPM watu hao walifukuzwa wote, sasa ameangia Samia anawarudisha wote waliofukuzwa na JPM ila walikuwa wameteuliwa na JK kabla.
Swali la msingi ni nani anamshauri Samia kuteua tena waliokuwa wameteuliwa na JK ila walifukuzwa na JPM?
Ni Naibu Katibu Mkuu SeraMafuru tayari yupo wizara ya fedha, ni msajili
Hiyo ndiyo ilikuwa sababu. Wakati ule kila DG su CEO akipata mshahara huo, Mkuu alikuwa anakasirika sana na akaifyeka yote. " kwa kazi gani anayofanya?" Aliuliza. As such Nehemiah is very smart upstairs.Nehemiah wakati wake wakurugenzi wa NHC walikuwa wanalamba 40m........
Katiba ya Tanzania inamruhusu Rais SSH kuchagua mtu yoyote Bara au Visiwani kama ilivyomruhusu JPM.
Hiyo ndiyo ilikuwa sababu. Wakati ule kila DG su CEO akipata mshahara huo, Mkuu alikuwa anakasirika sana na akaifyeka yote. " kwa kazi gani anayofanya?" Aliuliza. As such Nehemiah is very smart upstairs.
Why?Kwenye nchi hii maskini hakuna mtumishi wa umma anayepaswa kulipwa milioni 30, awe smart upstairs au downstairs.
Kwa sababu kuna wanafunzi wengi hawana walimu wa masomo ya sayansi shuleni na raia wengi wanaosafiri mamia ya kilometa kumfuata general doctor tu.Why?
Au kwa kuwa si wewe?
Ajira zilikoma wakati wa JPM! Uliwahi kumuuliza ni kwa sababu gani? Au umeambiwa mshahara hiyo ndiyo inafanya kusiwe na walimu na madaktari?Kwa sababu kuna wanafunzi wengi hawana walimu wa masomo ya sayansi shuleni na raia wengi wanaosafiri mamia ya kilometa kumfuata general doctor tu.