Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Ukiwa mjeda, kupumzika ni kwa ajili ya nn? Mjeda kiapo ni kupiga kazi tu popote unapoagizwa na rais. Kwanza venance mwenyewe anaona hapo kapumzika.Wanataka tuamini ule uzi kuwa wamemuondoa kwa makusudi..mtu hajapumzika hata mwezi mmoja??