UTEUZI: Rais Samia amteua Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro

UTEUZI: Rais Samia amteua Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro

Wanataka tuamini ule uzi kuwa wamemuondoa kwa makusudi..mtu hajapumzika hata mwezi mmoja??
Ukiwa mjeda, kupumzika ni kwa ajili ya nn? Mjeda kiapo ni kupiga kazi tu popote unapoagizwa na rais. Kwanza venance mwenyewe anaona hapo kapumzika.
 
Kwahiyo anabeba pensheni ya kutumikia Jeshi halafu anaendelea na kitita cha Ngorongoro?


Naombeni Muongozo
Ndio maanake ,wacha waendelee kula keki ya taifa ,watanzania wengine hamna uwezo[emoji848][emoji15]
 
Katumwa Ngorongoro kwa kazi maalum ya kumtengenezea mazingira mjomba, huyu Samia ni Magufuli tu, tofauti jinsia.
 
Hapo wamasai kazi tunayo.

Lakini kwakua Mabeyo ni mfugaji mwenzetu labda atatuelewa.
Utangoja sana. haji kufanya kazi ya ubunge hapo. Orders zimeshatoka kwa alie mteua ni utekelezaji tu
 
Hii keki ya Taifa ni bora tukawa tuna share wote, lakini kwa namna ilivyo wananufaika wachache .
Mbona hii ilishathibitishwa vizuri tu na wataalamu mahiri wa Urusi, China na India kwamba siyo tena ^keki ya taifa,^ bali ni ^keki ya wateule^? Ama hukuwepo?
 
Afu kuna kijana yuko anasoma chuo cha wanyama pori pale pasiansi akitegemea makubwa hapana haiwezikani
Huwez ukatoka pasiansi straight ukapewa uwenyekiti wa bodi ya ngororo.. hiyo ni top executive positon.
Usualy wanaotoka pasians huanza kama askari wanyama pori kwanza. Huamzia chini kabisa.
 
Kwahiyo anabeba pensheni ya kutumikia Jeshi halafu anaendelea na kitita cha Ngorongoro?


Naombeni Muongozo
Mbona mawazo ya hela-hela yamekithiri? Hivi kwani hakuna lingine bora? Wazeni hata kurusha roketi juani, basi!
 
Huwez ukatoka pasiansi straight ukapewa uwenyekiti wa bodi ya ngororo.. hiyo ni top executive positon.
Usualy wanaotoka pasians huanza kama askari wanyama pori kwanza. Huamzia chini kabisa.
Naona mind-set yako bado inahitaji muda wa ^kumachua^ kama deni la taifa!
 
Wenye menyu yao watajibu
Baada ya Lotter kupigwa chuma sijamsikia tena huyu Mzee.

Waliupiga mwingi sana kuanika mtandao wa majangili hapa nchini na ukanda mzima wa Africa mashariki, Kati na Kusini.

Itakuwa wako chini ya maji na crew yake maana Sio mchezo.
 
Mimi sipingani na Uteuzi

Swali langu, ni kwann Ngorongoro?

Anajua Mabeyo ni mtu Safi asokua na makando Kando, anaamua kumpa Jaribu ambalo Ndani yake Kuna Mihela mingi Sanaa .

Kwamba Sasa, Kuisema Ngorongoro, ni kumsema Mabeyo na kwakua Mabeyo anakubalika na JWTZ basi ni sawa na kuchagua JWTZ .

Kwamba kama suala la Ngorongoro lingekua na makando Kando, kwann amuweke mtu msafi??.
 
kwakweli Mkuu wa Majeshi mstaafu, kastaafu akiwa bado ana nguvu za kufanya kazi, nimeipenda sana hiyo ni jambo la kuigwa na wengine.

lakini kuna wazee wamezeeka ktk idara za Aerikali wala hawajui umri wao wa lustaafu wanataka kuifia makazini. Yaaani ukiwatizama umri wao hawalingani kabisa.

Jifunzeni kwa Jenerali Mabeyo, staafu ukiwa bado una nguvu za kutosha acheni kuwazibia vijana.
 
Back
Top Bottom