UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.

Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Najua umeandika lakini Akili yako inakukataza.
 
Kuna yule jamaa nadhani ni bondia ambaye huwa kila baada ya muda anakuja na jina jipya la ngumi zake (Mandonga) mara peresu nk.

Huyo jamaa wala siyo bondia mkuuubwa hapa nchini kama matumla au mwakinyo, ila kutokana na mdomo wake anaonekana ni tishio sana.

Hapa kwa huyu ndg balozi Humphrey wala si mtu mkuuubwa ndani ya CCM na hata ushawishi wake hauonekani kuwa tishio kwa hao mnaosema 'eti' wenye ccm yao ila ni sawa na yule Mandonga.

Na tukumbuke wakati kina mwakinyo nk, wapo gym na wanapigana ngumi za kulipwa mwezao ambaye hatishi ila anakula mashavu na mikataba daily huku wao wakimponda, but maisha ndo hayasimami.

Kuna tunaomponda balozi ila upande wa pili wanamuona ni tishio and this is the same imagination to our ambassador Humphrey.
 
Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.

Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Na wenyewe hawakulikani.
 
Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.

Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Wewe hujuhi kitu kaa kimya..
CCM Ina wenyewe lakini SYSTEM INAWENYEWE PIA.

unadhani magufuli kuwa rais ilikuwa NI coincidence tu?
Haya mambo muulize mzee
Mkuchika .
 
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:

1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.

2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.


1.Pole2 yuko Malawi lakini kila siku tunamuona Kwenye mijadal Itv,start mara Azam Tv
2. Pole2 anaonekana anapenda Sana kuonekana tz
3. Anafanya Mambo kwa sifa yake siyo rais
4.Barozi pekee aliyekagua gwaride pale Malawi wiki iliyopita, (Mpenda Kiki)
5.Anamipango mingi Sana kumpita rais, yaani usipokaa sawa wamalawi wangeinjoy Tz kuliko wa Tz wenyewe
6.Ana roho ya yshinsani dhidi ya ccm ya Leo na ile ya Jana
7.Huyu kijana ndio yule aliyeanzisha shule ya uongozi mitandaoni, ilimradi tu aishi mioyoni mwa watu
8. Huyu hakustahili kupelekwa Cuba, labda Afganstan au Iraq akafuge ndevu.
9.Anaujua Sana ushiroba wa Mtwara, kule mtwara anaitwa mzee wa "USHIROBA"
 
Kwa hiyo aliyekuwa balozi Cuba ndiye aliyeliwa kichwa
Watu wanamsema Pole Pole wanasahau kuwa Mlowola aliyekuwa Cuba hakupangiwa popote.

Hata hivyo, tabia ya kuteua kutengua na kubadili mara kwa mara haijengi ufaninisi kiutendaji. Ni kweli kuna haja ya kuwaondoa walioshindwa kazi lakini siyo hii ya dana dana ya kila baada ya wiki mbili
 
Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.

Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Na huo ndio ukweli mchungu !! Hata jamaa wa karibu ya Kibaigwa anaujua !! Mkuu wa Nchi hababaishwi na Ntu yeyote !!
 
Watu wanamsema Pole Pole wanasahau kuwa Mlowola aliyekuwa Cuba hakupangiwa popote.

Hata hivyo, tabia ya kuteua kutengua na kubadili mara kwa mara haijengi ufaninisi kiutendaji. Ni kweli kuna haja ya kuwaondoa walioshindwa kazi lakini siyo hii ya dana dana ya kila baada ya wiki mbili
Watumishi wanapoteza kujiamini katika kazi zao wakihofia uhakika wa kibarua chao,

wanashindwa kuingiza mipango ya kudumu katika kazi waliyopewa
 
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:

1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.

2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.


Msitutoe kwenye RELI,

Awamu ya SITA imedhamiria kuifilisi Nchi na kuiacha katika madeni makubwa Kwa vizazi vijavyo.

MIKOPO na Pesa za Umma zinaibwa na viongozi Wanalalamika.

Wote wanaohujumu pesa za Umma, tauni isikauke kwao na vizazi vyao.

Hadi watakapotambua, Mungu akikupa nafasi ya uongozi, jua unamuwakilisha Mungu kuwahudumia wananchi maskini wapate kuinuliwa.
 
Aiombe serikali ya Cuba sasa wapelekwe vijana wakasomee tabibu maana wako vizuri sana huko

Kazi ya Mabalozi sio kutoa visa tu kama wengine wanavyojua

Polepole wasaidie vijana wapate ajira kubwa kubwa
 
Back
Top Bottom