Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Naomba tujuzane wale jamaa wa over invoice imeishia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanamsema Pole Pole wanasahau kuwa Mlowola aliyekuwa Cuba hakupangiwa popote.
Hata hivyo, tabia ya kuteua kutengua na kubadili mara kwa mara haijengi ufaninisi kiutendaji. Ni kweli kuna haja ya kuwaondoa walioshindwa kazi lakini siyo hii ya dana dana ya kila baada ya wiki mbili
Naliona hili piaTuliosomea Cuba tunaelewewa.
Mr pole pole kapelekwa mbali na Tz kusudi kuvuruga zile movements zake za chini chini.
Maana ilikuwa haipiti mwezi bila kuja Tz.
Next stage watamla kichwa kabla ya 25.
Japo, hii itakuwa risk kwa SSH.
Maana watamrahisishia mipango yake.
Mbona mnaweweseka mkimsikia shujaa polepole?Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.
Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Alipopelekwa Malawi mlisema hivyohivyo. Mafuriko hayazuiwi kwa mikonoDead and gone
Polepole ameponzwa na kitendo Cha kutaka kupoka madaraka ya amiri Jeshi mkuu kwa kutamka salamu ya "himahima" Tanzania....ni kwa wale wanajeshi waliokuwa wanaenda Malawi kutoa msaada. Akilenga umaarufu binafsi wakati akijua wale wameenda kwa amri ya SSH. Mwanajeshi anatakiwa kumtii amiri Jeshi pekee,au bosi katika mfumo wa kijeshi.
Pia muda mwingi alikuwa anazurura tu Tanzania bila kufanya kazi. Mara Yuko Sinza, mara Mbeya. Sasa ngoja akajifunze maisha Mapya na watu wasiojua kingereza au kiswahili.
Sasa hivi akipost jambo Instagram linapata likes kumi au mia, message hazifiki 50. Muda utasema, na Diblo Dibala anahaha tu. Diblo Dibala ndiye mgombea pendwa wa Polepole ...bado Wana Nia ya kurejesha utaratibu wa kutupa watu baharini, kuteka, na kubambika kesi, kujizolea fedha kwenye akaunti za watu.
Umemuona Humphrey Tu?Kila hatua ina heri
Hongera kwake Humphrey
Uwe unasoma sio kukimbilia kuandika tuKwa hiyo Malawi imeachwa wazi bila balozi?
Sawa bwana MalopePolepole ameponzwa na kitendo Cha kutaka kupoka madaraka ya amiri Jeshi mkuu kwa kutamka salamu ya "himahima" Tanzania....ni kwa wale wanajeshi waliokuwa wanaenda Malawi kutoa msaada. Akilenga umaarufu binafsi wakati akijua wale wameenda kwa amri ya SSH. Mwanajeshi anatakiwa kumtii amiri Jeshi pekee,au bosi katika mfumo wa kijeshi.
Pia muda mwingi alikuwa anazurura tu Tanzania bila kufanya kazi. Mara Yuko Sinza, mara Mbeya. Sasa ngoja akajifunze maisha Mapya na watu wasiojua kingereza au kiswahili.
Sasa hivi akipost jambo Instagram linapata likes kumi au mia, message hazifiki 50. Muda utasema, na Diblo Dibala anahaha tu. Diblo Dibala ndiye mgombea pendwa wa Polepole ...bado Wana Nia ya kurejesha utaratibu wa kutupa watu baharini, kuteka, na kubambika kesi, kujizolea fedha kwenye akaunti za watu.
Doto Biteko atapangiwa hukoKwa hiyo Malawi imeachwa wazi bila balozi?
Bwashee ebu nisomee, balozi mpya wa Malawi ni nani?Uwe unasoma sio kukimbilia kuandika tu
USSR
Atateuliwa lini?Doto Biteko atapangiwa huko
Baada ya mjadala wa Ripoti ya CAG kumalizikaAtateuliwa lini?