UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:

1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.

2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.


Malawi ampelekee mwalimu mpwayungu village
 
Mimi nikisikia jina Pole Pole huwa nakumbuka haya......
- kauli yake ya nyodo iliyo trend "Hivi wewe unaijua vieiteeeee?"
-Kale kakitanda kadogo kakihuni kalikoonekana kwenye gheto lake baada ya kuibiwa flat screen yake halafu wahuni mitandaoni wakasema kumbe Pole Pole naye ni muhuni tu.
 
Yasemekana ndiye aliyepeleka kimbunga Malawi, wameona Bora wampeleke mbali, Kwan lengo kuu lilikuwa ni kukileta huku Tanzania.
 
Atakuwa alikuwa anatorokea mbeya kuja chap kufanya mipango ya umoja party na kurud .. sasa mzee issue za Cuba ukafanye siasa za ujamaa huko ndio umeisha hivo🤣🤣🤣
Ila polepole atafaidi cuba kuna pisi kali. Tena mabantu figure pure na mix mazuri kupita maelezo. Kwa kifupi tu chakubanga kaula .
 
Tuna katiba ya kuteua na kutengua tu. Halafu linapokuja suala la kuwashughulikia wala rushwa na mafisadi, katiba hiyo hiyo huwageuza watawala kuwa walalamikaji.
Iwapo katiba ingekuwa huru kushughulika na mafisadi kwa viwango hivi,uchumi wetu ingekuwa unakimbizana na ule wa wa Korea hivi leo🤔
 
Toka maktaba : konseli mkuu Iddi Seif Bakari

Consul General of Tanzania​

909481980716940209.jpg


A-AA+
DUBAI, 28th March, 2022 (WAM) -- Rashid Abdulla Al Qaseer, Deputy Director of the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation (MoFAIC)’s Dubai Office, has met with iddi Seif Bakari, Consul General of the United Republic of Tanzania in Dubai and received his credentials
 
Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.

Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Uyu kipenyo ulimjua kabla au baada ya kupelekwa chama kama mwenezi?

NGO kule alikuwa anazuga
 
Mbona mnaweweseka mkimsikia shujaa polepole?
Hahahha Bora ungesema Mangula au Ndugai ila Polepole ndio amuangushe Samia? Hahahaha huyo ni non-starter ndio maana vipindi vyake vilifungiwa na hakufurukuta. So kapewa cheo Ili hasira ziishe na sio kwamba eti atamuondoa Samia. Trust me hiyo 2025 Polepole atapanda jukwaani kumpigia kampeni Samia nchi nzima.
 
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:

1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.

2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.


Hao ndo wanamfanya raisi asilale pengine
 
Watanzania wengi wivu na majungu huwa vinalimit na ku influence aina ya kufikiria kwenu. Kwanza mlidai katupwa ka nchi kadogo Tu kaafrica. Sasa kahamishwa kwenda Cuba ningezani mngesifia kuwa bado anatambulika, Ila mnakuja na hoja za kikombe kipo nusu empty Badala ya kimejaa nusu. Msiwaze mbali sana wabongo. Maisha Kama Sio yako binafsi huwezi kuyapangia na kuyapatia.
Na bado, tunamsogeza China akaelezee zile Hela zilifikaje huko, China huwa wanapita na shingo
 
Uyu kipenyo ulimjua kabla au baada ya kupelekwa chama kama mwenezi?

NGO kule alikuwa anazuga
Hivi nani kawadanganya TISS wote Wana kauli moja? Hata huko Kuna power struggles.... na sio TISS tu hata CIA au FBI Kuna kupishana strategy, uasi, usaliti, kutupwa nje ya mfumo n.k otherwise kina Marando au Mrema wasinge fall out or rather Seif asingekosana na establishment.
 
Back
Top Bottom