Najua umeandika lakini Akili yako inakukataza.Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.
Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Angebakia ndani more risk Sana kwakeNi namna ya mfumo kulinda some potentials. Nchimbi na Polepole ni mfano wa watu ambao ni kama wanawekwa mbali na internal politics [emoji58]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Na wenyewe hawakulikani.Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.
Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Wewe hujuhi kitu kaa kimya..Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.
Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
1.Pole2 yuko Malawi lakini kila siku tunamuona Kwenye mijadal Itv,start mara Azam TvRais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:
1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.
2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.
Watu wanamsema Pole Pole wanasahau kuwa Mlowola aliyekuwa Cuba hakupangiwa popote.Kwa hiyo aliyekuwa balozi Cuba ndiye aliyeliwa kichwa
Mjamaa kupelekea Cuba Si demotion, ni protion.pushing him too far.
Na huo ndio ukweli mchungu !! Hata jamaa wa karibu ya Kibaigwa anaujua !! Mkuu wa Nchi hababaishwi na Ntu yeyote !!Movement zipi Mkuu? Polepole ni nzi tu CCM hakuwa hata na miaka 5 so Hana hiyo power mnayofikiria anayo. Kahamishwa Ili tu asipige kelele awe busy muda wote ila Sio kwamba ana uwezo wa kushawishi chaguzi za 2025.
Kama kinana, makamba, membe n.k walikua na miaka zaidi ya 40 CCM walitulizwa na JPM walipotaka kumuondoa 2020 ndio sembuse Polepole na Bashiru waliokaa 5 years pekee?? Mkuu CCM Ina wenyewe na ndio waliokamata serikali so hao kina Kabudi, Polepole na Bashiru ni wageni tu
Watumishi wanapoteza kujiamini katika kazi zao wakihofia uhakika wa kibarua chao,Watu wanamsema Pole Pole wanasahau kuwa Mlowola aliyekuwa Cuba hakupangiwa popote.
Hata hivyo, tabia ya kuteua kutengua na kubadili mara kwa mara haijengi ufaninisi kiutendaji. Ni kweli kuna haja ya kuwaondoa walioshindwa kazi lakini siyo hii ya dana dana ya kila baada ya wiki mbili
Tena sio kusoma Cuba tu, tuliosomea Cuba miaka ya 1960-70πππPolepole atutafutie nafasi za kusoma Cuba kama ma bro zetu waliosoma Cuba ambao wanatunyanyasa mitandaoni kuwa hatuelewi kwakuwa hatujasoma Cuba.
Mpaka namuonea wivu jamaa anaenda kula pisi za kimeksikana πMwamba ana enda kula pisi za cuba
Msitutoe kwenye RELI,Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:
1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.
2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.