Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi pamoja na kuvunja Bodi ya TCRA

Brother GENTAMYCINE umetisha sana kwenye ule utabiri wako wa simba kufungwa. Niliahidi kukuogopa natekeleza ahadi yangu. Heshima yako tena
 
Waweke utaratibu kwamba kila baada ya miaka kadhaa bodi ziwe zinavunjwa, tupate uzoefu wa wengine
 
Maza kwake Katiba na sheria siyo kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…