Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi pamoja na kuvunja Bodi ya TCRA

Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi pamoja na kuvunja Bodi ya TCRA

Kuna mawili, Mwanasheria mkuu wa serikali hamshauri vizuri rais au Ubalozi sio nafasi katika utumishi wa JMT.
Pengine labda ni utumishi akiwa "NDANI YA JMT" ila inawezekana akaendelea kuitumikia JMT akiwa nje ya mipaka ya JMT.

Hawa watu wa intelligence; how do you handle them ukishatengua uteuzi wake ukizingatia kuwa ndiyo watu wanaosemekana duniani kote kuwa wana alkili nyingi zaidi?
 
Bodi ya TCRA iliyovunjwa imeshiba CV , tatizo gani limewakumba hawa wasomi :

Mhandisi Othman Sharif Khatib​

Mwenyekiti wa Bodi
Mhandisi Othman Sharif Khatib ni Mtaalamu na Mhandisi wa Mawasiliano ya Simu mwenye uzoefu wa miaka mingi kwenye sekta ya mawasiliano na amekuwa kwenye utumishi wa umma katika nafasi mbalimbali ndani ya Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar (SMZ) na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi zake. Aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA)(TCRA) Septemba 2022.
Mhandisi Khatib ana shahada ya Uzamivu ya Sayansi katika Uhandisi wa Mawasiliano ya Simu kutoka Chuo Kikuu cha Hochschule für Vehrkehrswessen cha Dresden, Ujerumani. Amepata mafunzo mbalimbali ya mawasiliano ya simu, uongozi na usimamizi wa sekta ya mawasiliano kwenye vyuo mbalimbali vya kimataifa.

Bw. Khalfan S. Saleh​

Makamu Mwenyekiti
Bw. Khalfan S. Saleh ni Mtumishi wa Serikali katika Ofisi ya Rais. Ana Shahada ya Uzamili katika fani ya Mitandao ya Mawasiliano ya Kielekroniki (MSc Data Telecommunication Networks) kutoka Chuo Kikuu cha Salford, Uingereza. Amekuwa Serikalini kwa zaidi ya miaka 25 ambapo amepata fursa ya kufanyakazi katika Serikali zote mbili, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT). Nafasi alizowahi kushika ni pamoja na Balozi Mdogo katika Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Serikali wa Uchapaji Zanzibar na Mpigachapa Mkuu wa Serikali na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.

Dkt. Mzee Suleiman Mndewa​

Mjumbe wa Bodi
Dkt. Mndewa ana shahada ya Uzamivu (Ph.D.) katika Optoelectronic Information Engineering ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia cha Huazhong, Wuhan – China; Shahada ya Uzamili ya Information Technology ya Chuo Kikuu cha Griffiths, Queensland, Australia; Shahada ya Kwanza ya Science in Electronics ya Chuo Kikuu cha Osmania Hyderabad cha India na Cheti cha Full Technicians cha Uhandisi wa Umeme cha Chuo cha Ufundi Karume, Zanzibar.
Kwa sasa ni Mkurugenzi wa Mawasiliano katika Wizara ya Miundombinu, Mawasiliano na Usafirishaji, Zanzibar. Ni mjumbe wa timu ya wataalamu wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano (NICTBB kuanzia mwaka 2004. Nyadhifa nyingine alizowahi kushika ni pamoja na Mkurugenzi wa Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Chuo Kikuu cha Dodoma; Mshauri wa masuala ya TEHAMA kwenye Serikali ya Tanzania na mjumbe na msimamizi wa timu ya wataalamu kuhusu mtandao na miundombinu kwa ajili ya mradi wa serikali mtandao (e-government), Zanzibar

Dkt. Fatuma Simba Ikuja​

Mjumbe wa Bodi
Dkt. Fatuma Simba Ikuja ni Mhadhiri na Mtafiti katika Idara ya Sayansi ya Kompyuta na Uhandisi, Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (CoICT), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Akiwa na uzoefu na utaalamu mkubwa, Ikuja hushiriki kikamilifu katika miradi mbalimbali na majukumu ya ushauri katika uga wake. Maeneo yake ya utafiti yanajumuisha mitandao ya mawasiliano ya kasi, Elimu kwa njia ya Mtandao, usalama wa mtandao na uhandisi wa programu za TEHAMA. Dkt. Ikuja pia huwafundisha wanafunzi wa shahada ya uzamili katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Arusha (NM-AIST) kama kazi ya muda wa ziada, pia, anafundisha kozi za shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Dkt. Ikuja amesimamia wanafunzi mbalimbali wa shahada za uzamili na uzamivu katika safari zao za kitaaluma. Amehudumu kama mtahini wa ndani na nje kwa maandiko ya wanafunzi wa shahada za uzamili na uzamivu katika UDSM na NM-AIST. Aidha, Dkt. Ikuja ni mjumbe wa Bodi ya Wahariri wa Jarida la Tanzania la Uhandisi na Teknolojia (TJET), Tanzania Journal of Engineering and Technology. Utaalamu wake pia unatambuliwa kupitia jukumu lake kama mchambuzi wa maandiko ya kitaalamu yakiwemo ya mikutano ya IEEE Africon (2015, 2021) na IFIP WG 9.4.
Mwezi Novemba 2021, Dkt. Ikuja aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Elimu Mtandao (CVL) cha UDSM, ambacho kinawezesha utoaji elimu kwa njia ya mtandao unaowezeshwa na TEHAMA. Pia alifanya kazi kama Mtaalamu wa Ushirikiano wa kisekta katika UDSM akihudumu kwa miaka mitano (2016-2021) katika mradi wa Higher Education for Economic Transformation (HEET) uliofadhiliwa na Benki ya Dunia.
Zaidi ya kujihusisha na masuala ya taaluma, Dkt. Ikuja anapendelea ubunifu na ujasiriamali. Anashiriki kikamilifu kama Mwalimu Mwelekezi katika Kituo cha Kuboresha na Kukuza Teknolojia ya Habari na Mawasiliano cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDICTI), ambacho kinahusika kukuza na kuunga mkono bunifu za wanafunzi na wahitimu wa chuo kikuu kuwawezesha kubadilisha mawazo yao kuwa biashara zinazochipukia. Zaidi ya hayo, Dkt. Ikuja anatoa mchango wake kikamilifu katika programu ya "SmartGirlz in ICT", inayoelimisha na kuwezesha wasichana wa shule za sekondari kujifunza masomo na kazi katika fani inayokua ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Programu hii inapata hamasa kutoka mradi wa "Siku ya Kimataifa ya Wasichana katika TEHAMA" unaoratibiwa na Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (ITU) lililoko Geneva.

Bw. Abdallah Batenga Katunzi​

Mjumbe wa Bodi
Abdallah Katunzi anafundisha katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam — Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma Tanzania. Ana Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania, Shahada ya Uzamili ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kutoka Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda. Kwa sasa, anasomea Shahada ya Uzamivu ya Habari na Mawasiliano katika Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya.
Ana uzoefu wa zaidi ya miaka 19 kama mwandishi wa habari, mwanataaluma, mtafiti na mshauri katika masuala ya Habari na Mawasiliano. Ameandika machapisho kadhaa, na ripoti yake ya utafiti ya hivi karibuni aliyoichapisha kwa ushirikiano na mtafiti mwingine iitwayo “The State of Journalism Reporting in Tanzania” ilitolewa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwezi Desemba 2022.
Amekuwa mshauri mwelekezi wa masuala yanayohusu vyombo vya habari na mawasiliano akifanya kazi na mashirika ya kimataifa, yakiwemo UNESCO (Tanzania), Swiss Development Cooperation (SDC) Tanzania, africaemediterraneo lenye makao yake nchini Italia, Natural Resources Governance Institute (NRGI), Florida International Research IWASH Initiative Limited (Marekani), DW Akademie (Ujerumani), GIZ (Tanzania), Friedrich Ebert Stiftung (FES-Tanzania), Geneva Centre for Security Sector Governance (DCAF), Norwegian Church Aid (NCA), na African Centre for Media Excellence (ACME) ya Uganda.
Amekuwa mshauri mwelekezi kwa taasisi za Serikali zikiwemo Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Baraza la Wawakilishi la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET). Pia, amefanya kazi na mashirika yasiyo ya kiserikali na taasisi za vyombo vya habari, ikiwa ni pamoja na Baraza la Habari Tanzania, Tanzania Media Foundation (TMF), na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA).
Kwa sasa anasimamia mradi wa utafiti wa vyombo vya habari nchini unaojulikana kama “Mradi wa Ubora wa Maudhui ya vyombo vya Habari Tanzania” (University of Dar es Salaam School of Journalism and Mass Communication (UDSM-SJMC) – Yearbook on Media Quality in Tanzania ), mradi huu unachunguza ubora wa uripoti wa vyombo vya habari kila mwaka nchini. Mwezi Mei 2023, alitunukiwa tuzo ya mshindi wa kwanza kwenye kipengele cha tafiti zilizofikia wadau wengi (outreach research project) kwenye maonyesho ya nane ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mwaka 2022 alikuwa Mratibu wa Kitaifa wa Siku ya Redio ya Umoja wa Mataifa nchini iliyoadhimishwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.


Bi. Rehema Jessica Khalid​

Mjumbe wa Bodi
Rehema Jessica Khalid ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria, iliyojikita katika Sheria za Kampuni. Ana Shahada ya Kwanza ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Bangalore, India. Kwa sasa ni Katibu na Mwanasheria Mkuu wa Mkulazi Holding Company Limited (MHCL).
Nafasi nyingine alizowahi kushika ni pamoja na Mshirika kwenye Kampuni ya Wanasheria ya Precise Law Attorneys kuanzia Agosti 2018 hadi Juni 2019, Mkuu wa Idara inayosimamia majukumu ya kampuni na masuala ya kisheria ya Zantel kati ya Juni 2014 na Julai 2018, Mwanasheria Mwandamizi wa Mkono and Company Advocates kati ya Januari 2007 na Juni 2014.
Rehema Jessica Khalid ni mjumbe wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Taasisi ya Wakurugenzi (IoDT) Tanzania na Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB).

Source : TCRA | WAJUMBE WA BODI
Cv hizi zimetulia sana; kwa hakika.
 
Nani tena? Balozi Said Hussein Massoro aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa halafu akatenguliwa mwezi August 2023, sasa mwezi November 2023 ateuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait.

Balozi Said Hussein Massoro kabla ya uteuzi wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa mapema mwaka huu January 2023, alipata kuhudumu kama Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa kisha mwezi January 2023 kupandishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa. Miaka ya nyuma aliwahi pia kuwa Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania Beijing China

2019
16 May 2019
Beijing, China
Mambo yanapikwa.
 
Pengine labda ni utumishi akiwa "NDANI YA JMT" ila inawezekana akaendelea kuitumikia JMT akiwa nje ya mipaka ya JMT.

Hawa watu wa intelligence; how do you handle them ukishatengua uteuzi wake ukizingatia kuwa ndiyo watu wanaosemekana duniani kote kuwa wana alkili nyingi zaidi?
Sheria haijasema hivyo, lakini nchi yetu hii rais anaweza kufanya lolote.

Kwani akitolewa hapo ni mwisho wa utumishi ndani ya Idara? Si bado anakuwa chini ya viapo vyake?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi na kuvunja bodi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Balozi James Gilawa Bwana kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika kusini. Balozi Bwana anachukua nafasi ya Balozi Meja Jenerali Gaudence Salim Milanzi ambaye amestaafu.

2. Amemteua Balozi Said Hussein Massoro kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait. Balozi Massoro anachukua nafasi ya Balozi Said Shaib Mussa ambaye aliteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

3. Amemteua Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC). Kabla ya uteuzi huu Bw. Mkeyenge alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Bw. Mkeyenge anachukua nafasi ya Dkt. Elirehema Doriye ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

4. Amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia tarehe 07 Novemba, 2023.

Zuhura Yunus

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.

View attachment 2808303

Is it mara ya kwanza kiongozi kuvunja taratibu?
Is why we need katiba otherwise
 
Lakini pia sheria ya mambo yao ya usalama wa taifa yanazuia mtu yeyote aliyepata kukitumikia cheo cha Mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa kuteuliwa katika nafasi yoyote katika utumishi wa JMT.

Kuna mawili, Mwanasheria mkuu wa serikali hamshauri vizuri rais au Ubalozi sio nafasi katika utumishi wa JMT.
Lina tengenezwa Zenger Tu apo
 
Imeniuma sana Dr Elirehema Doriye wa NIC kutumbuliwa. Nlikuwa naona anafanya vizuri sana na ni kuongozi mbunifu. Nini kimeenda mrama? Mwenye za ndani please atupashe.
 
Nani tena? Balozi Said Hussein Massoro aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa halafu akatenguliwa mwezi August 2023, sasa mwezi November 2023 ateuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait.

Balozi Said Hussein Massoro kabla ya uteuzi wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa mapema mwaka huu January 2023, alipata kuhudumu kama Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa kisha mwezi January 2023 kupandishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa. Miaka ya nyuma aliwahi pia kuwa Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania Beijing China

2019
16 May 2019
Beijing, China
Gama alikua mkurugenzi usalama wa taifa, baadae akawa mkuu wa mkoa
 
Imeniuma sana Dr Elirehema Doriye wa NIC kutumbuliwa. Nlikuwa naona anafanya vizuri sana na ni kuongozi mbunifu. Nini kimeenda mrama? Mwenye za ndani please atupashe.
Ni kweli amefanya kazi kubwa sana. Kubadilisha Culture ya Shirika. Technilogy innovation hasa kwenye uendeshaji wa Shirika ali invest sana.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi na kuvunja bodi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Balozi James Gilawa Bwana kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika kusini. Balozi Bwana anachukua nafasi ya Balozi Meja Jenerali Gaudence Salim Milanzi ambaye amestaafu.

2. Amemteua Balozi Said Hussein Massoro kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait. Balozi Massoro anachukua nafasi ya Balozi Said Shaib Mussa ambaye aliteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

3. Amemteua Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC). Kabla ya uteuzi huu Bw. Mkeyenge alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Bw. Mkeyenge anachukua nafasi ya Dkt. Elirehema Doriye ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

4. Amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia tarehe 07 Novemba, 2023.

Zuhura Yunus

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.

View attachment 2808303
Hii kazi aneiweza kwa hakika tengu tengu ,
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi na kuvunja bodi kama ifuatavyo:

Amemteua Balozi James Gilawa Bwana kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika kusini. Balozi Bwana anachukua nafasi ya Balozi Meja Jenerali Gaudence Salim Milanzi ambaye amestaafu.

Amemteua Balozi Said Hussein Massoro kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait. Balozi Massoro anachukua nafasi ya Balozi Said Shaib Mussa ambaye aliteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Amemteua Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC). Kabla ya uteuzi huu Bw. Mkeyenge alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Bw. Mkeyenge anachukua nafasi ya Dkt. Elirehema Doriye ambaye atapangiwa kazi nyingine. Uteuzi huu unaanza mara moja.

Amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia tarehe 07 Novemba, 2023.


View attachment 2808305
The way, CCM pundits, political establishment, and their sycophantic media, talks about this "teuziz" You may think it's something that will change the life of common mwananchi!
They always expect us to praise Samia! And ruling part for work well done!
Their eyes pops up in disbelief, and anger flares when they don't see positive jubilee from wananchi!
They wish they could kill all the disdent!
So fucking pathetic
Political appointment is the only industry working in this regime.
Bloody motherfuckers, cock suckers.
 
Back
Top Bottom