Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi pamoja na kuvunja Bodi ya TCRA

Kuna mawili, Mwanasheria mkuu wa serikali hamshauri vizuri rais au Ubalozi sio nafasi katika utumishi wa JMT.
Pengine labda ni utumishi akiwa "NDANI YA JMT" ila inawezekana akaendelea kuitumikia JMT akiwa nje ya mipaka ya JMT.

Hawa watu wa intelligence; how do you handle them ukishatengua uteuzi wake ukizingatia kuwa ndiyo watu wanaosemekana duniani kote kuwa wana alkili nyingi zaidi?
 
Cv hizi zimetulia sana; kwa hakika.
 
Mambo yanapikwa.
 
Sheria haijasema hivyo, lakini nchi yetu hii rais anaweza kufanya lolote.

Kwani akitolewa hapo ni mwisho wa utumishi ndani ya Idara? Si bado anakuwa chini ya viapo vyake?
 

Is it mara ya kwanza kiongozi kuvunja taratibu?
Is why we need katiba otherwise
 
Lina tengenezwa Zenger Tu apo
 
Imeniuma sana Dr Elirehema Doriye wa NIC kutumbuliwa. Nlikuwa naona anafanya vizuri sana na ni kuongozi mbunifu. Nini kimeenda mrama? Mwenye za ndani please atupashe.
 
Gama alikua mkurugenzi usalama wa taifa, baadae akawa mkuu wa mkoa
 
Imeniuma sana Dr Elirehema Doriye wa NIC kutumbuliwa. Nlikuwa naona anafanya vizuri sana na ni kuongozi mbunifu. Nini kimeenda mrama? Mwenye za ndani please atupashe.
Ni kweli amefanya kazi kubwa sana. Kubadilisha Culture ya Shirika. Technilogy innovation hasa kwenye uendeshaji wa Shirika ali invest sana.
 
Hii kazi aneiweza kwa hakika tengu tengu ,
 
The way, CCM pundits, political establishment, and their sycophantic media, talks about this "teuziz" You may think it's something that will change the life of common mwananchi!
They always expect us to praise Samia! And ruling part for work well done!
Their eyes pops up in disbelief, and anger flares when they don't see positive jubilee from wananchi!
They wish they could kill all the disdent!
So fucking pathetic
Political appointment is the only industry working in this regime.
Bloody motherfuckers, cock suckers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…