Naona kama Mh. Rais baada ya kuwa Mwenyekiti wa ccm ndio atakuja kuunda baraza lake kamili. Kwa sasa amewapa golden chance ya mtu kujipima kama ataendana na formation yake au laa.
Ila polepole na Kakurwa hakuna ata mmoja anayefaa ata unaibu Waziri kweli?
Huyu Bashiru huyu ilikuwaje akawa pale? dah Jiwe bhana!Kitendo cha kutengua uteuzi au nafasi ya Bashiru Ali Kakurwa kutoka nafasi ya Katibu Mkuu kiongozi hadi kuwa mbunge ni kitendo cha kuonyesha kujali na kuheshimu utawala wa kisheria.
Nafasi ya Katibu Mkuu kiongozi haipaswi kukaliwa na mwanasiasa kama alivyo Bashiru Kakurwa.
Aliwahi pia kuwa katibu mkuu TAMISEMI kipindi cha rais Jakaya Kikwete.Ba
Balozi Katanga kutoka DED- Kinondoni Municipal, RAS, Mtendaji Mkuu Idara ya mahakama, Balozi and now Chief Secretary! Hongera sana.
KitengoBa
Balozi Katanga kutoka DED- Kinondoni Municipal, RAS, Mtendaji Mkuu Idara ya mahakama, Balozi and now Chief Secretary! Hongera sana.
Maisha yanaenda kasi sana!Bashiru kawa Mbunge wa Viti Maalum
Naona kama Mh. Rais baada ya kuwa Mwenyekiti wa ccm ndio atakuja kuunda baraza lake kamili. Kwa sasa amewapa golden chance ya mtu kujipima kama ataendana na formation yake au laa.
Ila polepole na Kakurwa hakuna ata mmoja anayefaa ata unaibu Waziri kweli?
Mhe Katanga yupo vizuri kiutendaji alifanya vizuri sana alipokuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama (Mahakama ni mhimili kamili siyo idara)Ba
Balozi Katanga kutoka DED- Kinondoni Municipal, RAS, Mtendaji Mkuu Idara ya mahakama, Balozi and now Chief Secretary! Hongera sana.
Lazima hata kama si kwa asilimia 100 lakini zitakuwepo hata 50%Wasi wasi wangu ni kwamba tumetoka usukumani tukaenda Unguja..
Tanzania BWANA.Bashiru tiyari alishaanza kuzoea kiyoyozi cha pale nyumba kubwa,
Sihitaji ku-elaborate zaidi,kama wewe ni mjanja na unatumia akili vizuri lazima ulione hili.Interest gani hizo?
chawa huwa mnajua sana kuwajaza matumaini hewa maboss zenu wanaowaweka mjini.Kongole kwako Dkt.Bashiru Ally kwa uteuzi wa Ubunge hakika hapo ulipo sasa ni swala la muda tu pengine tusishangae kusikia ukiteuliwa nafasi ya uwaziri , usidhohofike kutoka nafasi ya KMK hadi M.P...