Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Naona kama Mh. Rais baada ya kuwa Mwenyekiti wa ccm ndio atakuja kuunda baraza lake kamili. Kwa sasa amewapa golden chance ya mtu kujipima kama ataendana na formation yake au laa.
Ila polepole na Kakurwa hakuna ata mmoja anayefaa ata unaibu Waziri kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kila zama ni kitabu chake