Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Nasubiri mvua zinyeshe niingie shambaniSafi huku ukiendelea kusubiri teuzi 💪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri mvua zinyeshe niingie shambaniSafi huku ukiendelea kusubiri teuzi 💪
atakwambia jina lakoUliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
ulijua jina lako lipo?Uliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
Hapana.ulijua jina lako lipo?
naona umesoma kwa bashasha ukakutana na kitu kizitoHapana.
Mbolea za ruzuku hazijafika mkuu?Mimi naendelea na maandalizi ya msimu mpya wa kilimo. kwa kuendelea kutafuta mbolea.
Mimi sipo hapa kutafuta uteuzi ndugu yangu mtanzania.mimi ni mzalendoatakwambia jina lako
safarihii litatoka unavyo jituma ivyo na walikuahid teuzi wanakusahau
Siyo kweli.naona umesoma kwa bashasha ukakutana na kitu kizito
mzalendo si ungeenda jeshini ukoMimi sipo hapa kutafuta uteuzi ndugu yangu mtanzania.mimi ni mzalendo
unakataaa nini sasaSiyo kweli.
Mama ameshaweka kila kitu sawa.lakini hata mbolea za Ruzuku ni lazima uwe na hela ndio uzipate .japo ni kwa bei nzuri ukilinganisha na wakati ile ambao serikali ilikuwa haitoi ruzuku.ndio maana tunasema Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliMbolea za ruzuku hazijafika mkuu?
Masikini wee, Lucas kwa mara nyingine wamekuruka, kujitoa akili koote huku unakofanya lakini hawakuoni, una kimavi siyo cha dunia hii.Uliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
Sabaya ndiye anayekuja kuwa RC wa Dar soon. Waovu wote wanarudishwa kuisadia CCM kuja kutisha wapiga kura.Ukiangalia kwa makini utaniona BICHWA KOMWE nimelamba uteuzi wa UKUU WA MKOA DAR ES SALAAM.
Chalamila kaa kwa password, anza kukusanya virago.
Nani kakwambia kuwa huwa najitoa akili katika kuandika.Mimi huwa natumia akili katika kuandika.ndio maana naandika kwa hekima ,husara na hoja zenye kueleweka. Ila wewe ndugu yangu ndio huwa hatumii kabisa akili kuandika zaidi ya kuropoka tuMasikini wee, Lucas kwa mara nyingine wamekuruka, kujitoa akili koote huku unakofanya lakini hawakuoni, una kimavi siyo cha dunia hii.
Oh imekula kwakeJamaa anashangaa wakati tumeitwa kwenye interview juzi tu.
Utatumiaje akili ambazo huna ? Sifa kubwa ya kuwa mwana CCM ni kujitoa ufahamu.Nani kakwambia kuwa huwa najitoa akili katika kuandika.Mimi huwa natumia akili katika kuandika.ndio maana naandika kwa hekima ,husara na hoja zenye kueleweka. Ila wewe ndugu yangu ndio huwa hatumii kabisa akili kuandika zaidi ya kuropoka tu