Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

Ndiyo kazi anayoiweza lakini masuala ya kumaliza utekaji hayamuhusu.
 
Uliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
atakwambia jina lako

safarihii litatoka unavyo jituma ivyo na walikuahid teuzi wanakusahau
 
Teuzi mbalimbali za watu wawili tu!

Ok tumezoea izo panga pangua wacha wale mema ukifika uchaguzi tupange foleni tuwape tena KULA!
 
Mbolea za ruzuku hazijafika mkuu?
Mama ameshaweka kila kitu sawa.lakini hata mbolea za Ruzuku ni lazima uwe na hela ndio uzipate .japo ni kwa bei nzuri ukilinganisha na wakati ile ambao serikali ilikuwa haitoi ruzuku.ndio maana tunasema Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
 
Uliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
Masikini wee, Lucas kwa mara nyingine wamekuruka, kujitoa akili koote huku unakofanya lakini hawakuoni, una kimavi siyo cha dunia hii.
 
Masikini wee, Lucas kwa mara nyingine wamekuruka, kujitoa akili koote huku unakofanya lakini hawakuoni, una kimavi siyo cha dunia hii.
Nani kakwambia kuwa huwa najitoa akili katika kuandika.Mimi huwa natumia akili katika kuandika.ndio maana naandika kwa hekima ,husara na hoja zenye kueleweka. Ila wewe ndugu yangu ndio huwa hatumii kabisa akili kuandika zaidi ya kuropoka tu
 
Nani kakwambia kuwa huwa najitoa akili katika kuandika.Mimi huwa natumia akili katika kuandika.ndio maana naandika kwa hekima ,husara na hoja zenye kueleweka. Ila wewe ndugu yangu ndio huwa hatumii kabisa akili kuandika zaidi ya kuropoka tu
Utatumiaje akili ambazo huna ? Sifa kubwa ya kuwa mwana CCM ni kujitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom