Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

Makatibu wa Bunge kipindi hiki wamekuwa wakikaa kwa muda mfupi sana na kuondoka. Je, wanaondolewa kwa kushindwa kufanya kazi au bosi wao anashindwa kuendana na kasi yao?
ni jambo kawaida sana katika utumishi wa umma,

ni katika kuimarisha utendaji wa taasisi na kuongeza ufanisi zaidi katika kuyafikia malengo na madhumuni ya taasisi kwa wakati muafaka na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
Thomas Kashilila amekaa sana ktk nafasi hiyo ya ukatibu wa bunge.

Jiwe ndiye mwanzilishi wa huu utamaduni wa kuwaondoa watu ktk nafasi zao kwasabb za kijinga.

Mfano ilikuwa nadra sana kumuondoa mkuu wa usalama nchini, lkn jiwe alimuondoa Kipilimba.

Huyu mama Sasa ndiyo kafanya kama ka mchezo. Kila uchwao anahangaika kuondoa watu.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Bi. Nenelwa Mwihambi ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mwihambi alikuwa Katibu wa Bunge; na

(ii) Bw. Baraka Ildephonce Leonard ameteuliwa kuwa Katibu wa Bunge. Bw. Leonard anachukua nafasi ya Bi. Mwihambi ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

Viongozi walioteuliwa wataapishwa tarehe 19 Septemba, 2024 saa 09.00 alasiri, Ikulu - Dar es Salaam.

PIA SOMA
- Uteuzi Agosti 6, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali
 
Thomas Kashilila amekaa sana ktk nafasi hiyo ya ukatibu wa bunge.

Jiwe ndiye mwanzilishi wa huu utamaduni wa kuwaondoa watu ktk nafasi zao kwasabb za kijinga.

Mfano ilikuwa nadra sana kumuondoa mkuu wa usalama nchini, lkn jiwe alimuondoa Kipilimba.

Huyu mama Sasa ndiyo kafanya kama ka mchezo. Kila uchwao anahangaika kuondoa watu.
Na ndicho anacho weza tengua n kuteua TU.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
kila nikikimbilia sipoo
Doh
Nevgvup
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Bi. Nenelwa Mwihambi ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mwihambi alikuwa Katibu wa Bunge; na

(ii) Bw. Baraka Ildephonce Leonard ameteuliwa kuwa Katibu wa Bunge. Bw. Leonard anachukua nafasi ya Bi. Mwihambi ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

Viongozi walioteuliwa wataapishwa tarehe 19 Septemba, 2024 saa 09.00 alasiri, Ikulu - Dar es Salaam.

PIA SOMA
- Uteuzi Agosti 6, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali
😂😂😂
 
Bw. Baraka Ildephonce Leonard
Attorney General (Appointment of Law Officers and State Attorneys)
GN NO. 1011 (contd.)
1
GOVERNMENT NOTICE NO. 1011 Published On 27/11/2020
THE OFFICE OF THE ATTORNEY GENERAL (DISCHARGE OF DUTIES)
ACT,
(CAP. 268)
______
NOTICE
______
(Made under section 24(3))
______
THE ATTORNEY GENERAL (APPOINTMENT OF LAW OFFICERS AND
STATE ATTORNEYS) NOTICE, 2020
ISSN 0856 - 034X
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Supplement No. 48 27th November,2020
SUBSIDIARY LEGISLATION
to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.48. Vol.101 dated 27th November, 2020
Printed by the Government Printer, Dodoma by Order of Government
WHEREAS, pursuant to Article 59(3) of the Constitution of the
United Republic of Tanzania, 1977 the Attorney General is the adviser of the
Government on all matters of law and is mandated to discharge such other
duties or functions as are entrusted upon him by the Constitution of the United
Republic of Tanzania or any other written law;
AND WHEREAS, paragraph 7 of the Office of the Attorney General
(Re-structure) Order, 2018, GN. No.48 of 2018 places under the supervision of
the Attorney General all legal officers employed in the ministries, local
government authorities, independent departments, agencies and other similar
public institutions who, by virtue of such paragraph, have been designated as
Law Officers and State Attorneys;
AND WHEREAS, pursuant to Article 59(3) of the Constitution of the
United Republic of Tanzania, section 16 of the Office of the Attorney General
(Discharge of Duties) Act, Cap. 268 and such other written laws, the duties of ....

NOW THEREFORE, I, ADELARDUS LUBANGO KILANGI, the Attorney
General for the Government of the United Republic of Tanzania, in exercise of the powers conferred under section 24(3) of the Office of the Attorney General Discharge of Duties) Act, Cap. 268, DO HEREBY issue Notice as follows:

Citation 1. This Notice may be cited as the Attorney General
(Appointment of Law Officers and State Attorneys) Notice,
2020.
Interpretation 2. In this Notice, unless the context requires
otherwise-

“Law Officer” means any of the persons specified in the
Schedule to this Notice who, in his employment, holds the rank of senior officer and above;

“State Attorney” means any of the persons specified in the
Schedule to this Notice who, in his current

27 Nov 2020 — Attorney General (Appointment of Law Officers and State Attorneys) ... BARAKA ILDEPHONCE LEONARD....

employment, holds the rank below senior officer.

Appointment of Law Officers and
State Attorneys Cap. 268, GN. No. 48 of 2018

3.-(1) For the purposes of the provisions of section
24(3) of the Office of the Attorney General (Discharge of
Duties) Act and paragraph 6(4) of the Office of the Attorney
General (Re-structure) Order, 2018, the persons whose names
are appearing in the Schedule to this Notice are hereby
appointed as Law Officers or State Attorneys and may,
subject to the provisions of this Notice, perform the functions
specified in subparagraph (2).
(2) The Law Officers or State Attorneys appointed as
such by this Notice, shall have mandate to-
(a) provide advice on any legal issue including issues
relating to vetting of contracts subject to the guidance issued by the Attorney General;
Caps. 2, 20 and 430 GN. No. 49 of
2018
(b) upon being issued with specific instrument of
delegation by the Director of Public Prosecutions pursuant to Article 59B of the Constitution of the United Republic of Tanzania, the Criminal Procedure Act, the National Prosecutions Service
Act, National Prosecutions Service (Establishment) Order and any other relevant
laws, conduct prosecutions;
GN. No. 50 of 2018
(c) upon being issued with specific instrument by the
Solicitor General pursuant to the provisions of the Office of Solicitor General (Establishment) Order, 2018, conduct civil litigation;
(d) engage in legislative drafting of various legislative instruments subject to the guidance of the Chief Parliamentary Draftsman.

Provision of notary
and oaths services
Cap. 268 Cap. 12
4. Law Officers and State Attorneys appointed as
such under this Notice shall, subject to the guidelines issued
by the Attorney General and pursuant to section 17A(4) of the
Office of the Attorney General (Discharge of Duties) Act,
have powers to provide notary services and administer oaths
pursuant to the provisions of the Notaries Public and
Commissioners for Oaths Act.


READ MORE :
TanzLII
https://tanzlii.orgPDF
ISSN 0856 - 034X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ...
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Bi. Nenelwa Mwihambi ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mwihambi alikuwa Katibu wa Bunge; na

(ii) Bw. Baraka Ildephonce Leonard ameteuliwa kuwa Katibu wa Bunge. Bw. Leonard anachukua nafasi ya Bi. Mwihambi ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

Viongozi walioteuliwa wataapishwa tarehe 19 Septemba, 2024 saa 09.00 alasiri, Ikulu - Dar es Salaam.

PIA SOMA
- Uteuzi Agosti 6, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali
Upuuzi, katibu wa Bunge na Ujaji wapi na wapi? katibu si karani tu! karani anakuwa Judge!
 
Back
Top Bottom