SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Atayamalizaje wakati utekaji ndiyo oxygen ya chama lake chakavu?Ndiyo kazi anayoiweza lakini masuala ya kumaliza utekaji hayamuhusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atayamalizaje wakati utekaji ndiyo oxygen ya chama lake chakavu?Ndiyo kazi anayoiweza lakini masuala ya kumaliza utekaji hayamuhusu.
Tatizo anajifanya chawa sana kuliko machawa wenyewe OG.Oh imekula kwake
ila kawa maarufu hapa jfTatizo anajifanya chawa sana kuliko machawa wenyewe OG.
Wenzake tumeweka simu chaji tunasikilizia yeye amebaki kuchungulia JF.
Jinga kabisa.
Prof Ibrahim Juma,ndiyo baasi tena.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:
(i) Bi. Nenelwa Mwihambi ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mwihambi alikuwa Katibu wa Bunge; na
(ii) Bw. Baraka Ildephonce Leonard ameteuliwa kuwa Katibu wa Bunge. Bw. Leonard anachukua nafasi ya Bi. Mwihambi ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
Viongozi walioteuliwa wataapishwa tarehe 19 Septemba, 2024 saa 09.00 alasiri, Ikulu - Dar es Salaam.
Yaani nchi hii rais anateua kila Kona!Sasa watu wawili ndo viongozi mbali mbali???
Na hapo ni kama kawahamisha tu au wamebadilishana nafasi.
Hao hao wawili tunatakiwa tububujikwe na machozi ya furahaUliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
Jina lako lipo.....andaa kaunda sutiUliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
Ulitaka wawe wangapiSasa watu wawili ndo viongozi mbali mbali???
Na hapo ni kama kawahamisha tu au wamebadilishana nafasi.
Mbalimbali inaanzia na wangapi?Uliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.
Tumia logic. Kwamba viongozi wawili unaweza kusema Mbalimbali?Mbalimbali inaanzia na wangapi?
Utawafahamu vipi Wakati Bunge limepoteza kabisa mvuto. Binafsi hata Mimi simjui Katibu wa Bunge tangu Kashilila aondoke. Huwa nashtuka TU kuona magazetini kuwa Bunge linaendelea huko Dodoma.Toka Thomas Kashilila aondoke hakuna katibu ninayemfahamu toka kipindi hicho
Mantiki inasema mbalimbali inaanzia na wangapi?Tumia logic. Kwamba viongozi wawili unaweza kusema Mbalimbali?
Kweli wewe unaandika kwa hekima, "husara" na hoja zenye kueleweka.Nani kakwambia kuwa huwa najitoa akili katika kuandika.Mimi huwa natumia akili katika kuandika.ndio maana naandika kwa hekima ,husara na hoja zenye kueleweka. Ila wewe ndugu yangu ndio huwa hatumii kabisa akili kuandika zaidi ya kuropoka tu
Kwahiyo katibu wa bunge anaapishwa na rais?Sasa watu wawili ndo viongozi mbali mbali???
Na hapo ni kama kawahamisha tu au wamebadilishana nafasi.
Watateuliwa wote lakini wewe utaendelea kupiga Deki Lumumba mpaka uote Kibiongo.Uliposema viongozi mbalimbali nikajuwa ni wengi sana .lakini nimeangalia mara mbili mbili nimeona ni wawili tu.au kuna majina mengine.au unaleta mengine tena baadaye. Ukanishituage basi.