Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama kichwani kwako kuna makamasi tupu,lakini kama uko timamu,you know what I am talking about.ulitaka wakina nani wateuliwe?
Shaka, umemsahauIpi,kuwateua akina Sophia Simba,Kinana,Ridhiwani,Makamba etc.Yaani nimeichukia nchi yangu ghafla.Tunakoenda siko I am sorry.
We jamaa ndio mpumbavu kweli. jibu swali, ulitaka akina nani wateuliwe?Labda kama kichwani kwako kuna makamasi tupu,lakini kama uko timamu,you know what I am talking about.
Anaowateua Wote PESA Aina Ya DollarMkuu wewe acha tu.Naona 2025 mbali sana,na hata huko sidhani kama kuna natumaini kwa safu anayoipanga.Yaani ni ya wapigaji tupu.Mungu atusaidie sana.
Wale wote waliogombana na Jiwe wamerudi serikalini na chamani kwa kishindo
Thenatakuja kumalizia kwa Geleja ili safu iwe imekamilika
Jibu liko wazi.We jamaa ndio mpumbavu kweli. jibu swali, ulitaka akina nani wateuliwe?
Hivi jamani huu mzunguko utaisha lini mbona ni walewale miaka nenda rudi... wengine wanatakiwa sasa wanalea vitukuu vyao na kustaafu. dunia ya sasa imebadilika sana enzi za maono kama ya akina Simba kwa sasa ni tofauti na maono ya kizazi cha kidigitali.Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Sophia Simba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii.
View attachment 2186352
Sawa,ila lililo na mwanzo lina mwisho.Tusubiri.Bado Membe, Nchimbi, Ngeleja, Masha etc.
Watu wengine bora kuliko yeye wapo wengi tu.... ila "are they part of the elite (inner circle) ".Hivii,hakuna watu wengine wanarudishwa wale wale?Disgusting.There are better people than Sophia Simba jamani,lakini kwa nini hivi?
Watu wengine bora kuliko yeye wapo wengi tu.... ila "are they part of the elite (inner circle) ".Hivii,hakuna watu wengine wanarudishwa wale wale?Disgusting.There are better people than Sophia Simba jamani,lakini kwa nini hivi?
Sawa,ila lililo na mwanzo lina mwisho.Tusubiri.
Watu wengine bora kuliko yeye wapo wengi tu.... ila "are they part of the elite (inner circle) ".
We chizi, ulitaka ateuliwe mumeo?! Mbona magufuli alikuwa anateua majambazi kina Sabaya mkawa mnashangilia wapuuzi nyieIpi,kuwateua akina Sophia Simba,Kinana,Ridhiwani,Makamba etc.Yaani nimeichukia nchi yangu ghafla.Tunakoenda siko I am sorry.
Hama nchiAnacheza Kwaito Kwa Step Zote
Umepigwa kwenye hiyo misaburi yako michafu auTumepigwa Mno Huyu Mama