Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Huyu mama tangu aingie huyu ni DG wa nne hapa yeye ndio matatizo sasa sio wateule huyu Siwa alikuwa NSSF juzi tu alimteuwa wa nini wakati akijua hana hata mwaka kazini very silly

USSR
Alimtaftia mafao, astaafu vizuri na mafao mazuri.

Samia miaka 3, wakurugenzi wa taasisi anabadilisha kama njugu.

1. TRA 3, Mhede, Kidata, Juma
2. TISS 4, Diwani, Yule Ustaadhi mwinge, Siwa, huyu wa Leo. Nyerere miaka 24 alikua na wakuu wa tiss 4 tu, samia miaka 3 wakuu tiss 4. Hapa TISS waote anaoweka na kuwaondoa ni waislamu wenzie, huwezi kusema kwamba ni wakristo labda wanamhujumu.
2. Tanesco 3, Tito, Maharage, Gissima.
4. BOT 2, Mgaya na sasa Tutuba. Inawezekana Tutuba asimalize term 2.
5. TPDC 4, Mataragio, Yule kada, Matargio, wa Sasa.
5. Rea, Mahalu, wa sasa.
6. Ewura, 2 , mume wa Tulia na yule mwingine.
7. Polisi, 2, Siro, wambura.
8. Magereza 2, yule mjeshi na huyu wa sasa.
9. NSSF 2,
10. Psssf 2
11. Ttcl 3.
12. Jeshi, mabeyo, wa sasa
13. Makatibu wakuu, makatibu tawala, wakurugenzi wa halmashauri hao ni kama kunywa juice, ni daily. Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, das ni balaa.

Shida iko kwake na sio kwa wateule wake.
 

Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya mkurugenzi wa usalama wa Taifa aliyepo sasa!
TOKA MAKTABA :
Brasilia, Brazil

Bolozi wa Tanzania nchini Brazil awasilisha hati za Utambulisho
June 27, 2017, 11:28 pm


Balozi wa Tanzania nchini Brazil Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil Mhe. Michel Temer, Tarehe 26 Juni, 2017. Rais Temer alisifu jitihada za Serikali ya Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kupigana na umasikini na kuleta maendeleo kwa wananchi. Brazil imeihakikishia kuunga mkono juhudi za Serikali ya Tanzania katika kufanikisha miradi mbalimbali ya ushirikiano.

Mhe. Rais Michel Temer na Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil Mhe. Aloysio Nunes Ferreira Filho (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, watatu kutoka kulia ni Mama Balozi Jane Nchimbi, Bw. Frank J. Mhina, Afisa Ubalozi na Mkuu wa Utawala; na Bw. Suleiman Abubakar Mombo (the Plenipotentiary Minister of the Embassy) yaani Afisa Mwandamizi wa Ubalozi.

Balozi Dkt. Nchimbi na Mama Balozi Jane Nchimbi, wakisindikizwa Mara baada ya kumaliza kuwasikisha hati za Utambulisho kwa Rais
 
Yeah,nchi hii Ina waislam wengi kuliko Imani yoyote,ile kujazana wafuasi wa Paulo tu ofisi za umma inaenda kuisha,so zowea
Wakiristo wa nchi hii wa ajabu sana, hovyo kabisa,wakiona Teuzi Cha kwanza kukimbilia ni dini Gani,japokuwa kwenye Teuzi hizo wao makafiri ni wengi lakini Bado wangependa waendelee kuwa wao wengi,kazi Yao kubwa ni kuiba na kukimbilia Kwa mwamposa kukanyaga mafuta kenge hawa.
 
Bilà shaka ni Mzanzibari maana Udini na Uzanzibari imeshamiri sana awamu hizi ya rangi za rainbow
 
Kukanyaga mafuta wanaenda wa pande zote mbili za dini kuu hapa nchini. Kafiri ni wewe mwenyewe.
 
Kukanyaga mafuta wanaenda wa pande zote mbili za dini kuu hapa nchini. Kafiri ni wewe mwenyewe.
Pande mbili zipi wewe kafiri??

Muislam gan anajitambua aende Kwa yule checkbob kukanyaga mafuta ili apate MTOTO??

Muislam toka lini akaamini katika upako wa yesu kristo?pigweni kimpango wenu msituingize waislam kwenye drama zenu
 
Bilà shaka ni Mzanzibari maana Udini na Uzanzibari imeshamiri sana awamu hizi ya rangi za rainbow
Udini itabid uuzoee tuuh,ikibidi nenda Vatican kashitaki,au kakesheni na mwamposa mkikanyaga mafuta muombe kristo awatetee...ama sivyo viboko vitaendelea tuh
 
Hongera sana ndugu Suleimani Abubakar Mombo kwa kuaminiwa na Rais, na kukupa majukumu hayo muhimu sana na mazito ya kitaifa.
binafsi nakutakia kila la kheri katika majukumu yako hayo mapya...

aidha,
nampongeza sana Rais, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoongoza nchi kwa weledi, na kuiimarisha serikali yake mara kwa mara ili kuleta ufanisi zaidi katika kazi za kuwaletea maendeleo endelevu waTanzania wote...🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Nyinyi mpo wengi pwani tu na huko kwenyewe bado mna mixer kubwa tu labda zanzibar ndo mko wengi
Tehtehetehteh pole,mbeya,rukwa,Arusha sawa,huko mpo 60%+.. kwingine mpo kiduchu Sana,dini Haina miaka 150 Tanganyika ulinganishe na dini ipo tangu Karne ya nane!!?..dar,zenji,Tanga,Lindi,mtwara,ruvuma ni waislam 80%,tabora,kigoma,iringa, Kilimanjaro,Kagera Kuna namba kubwa tu waislam,wakati wasukuma ni wapagani wengi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…