Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa DCI (Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai). Je, Rais Samia amepotoshwa?

Kama vetting yenyewe ndiyo hivi basi hata hao wafanyao vetting wanatakiwa kupigwa chini
 
Kingai mnamnalumu bure. Kwanza tunapaswa kujua kuwa boss wake ni nani ! Hivyo malalamiko yote mnayomlalamikia hakufanya kwa matakwa yake bali kwa kutii maagizo.

Hivyo unaweza kuta jamaa ni mtendaji mzuri sana hivyo tusubiri tuone.
Hapana Kisiasa kuna mtu anahitajika kupmzka kwa ajili ya Utii wa Mamlaka ya wananchi. Huyu alitakiwa hata ukuu wa kituo asipewe.
 
Kingai kupandishwa cheo ni kuonyesha jinsi gani hizi kitu zinaitwa vetting ni ubabaishaji mtupu,kingai alionyesha jinsi gani hajui taratibu za jeshi la porisi,alivyo mtupu kwenye sheria,mbali na kutumika ila hajui kazi zake
 
Samia ana washauri wabaya aisee!!
 
Hii ni dharau kwa watanzania. Hivi rais Samia anapofushwa madaraka kiasi kwamba haoni Wala hasikii malalamiko ya watanzania?
Kwani Kingai ni Mnyarwanda!?...Na je una takwimu ya hao "Watanzania" wanaolalamika!? Pia unatambua Rais wa JMT ndio mwakilishi Halisi wa Watanzania (walio wengi)!?

Binafsi ninaamini Kingai anastahili uteuzi huu, baadhi ya Watanzania watalalamika only because Kingai alikua exposed Sana kwenye Media,but naamini ata IGP Mpya angekuwa kwenye firing line ya media si ajabu wengi mngekosoa uteuzi wake ..Polisi wote wanapitia same drill, na training ni zile zile...wote ni sawa, tofauti ndogo ya polisi wetu ni , kuna baadhi wanaendaga nje ya maadili kama vile kupokea Rushwa nk..But kitaaluma na kimfumo ,..they are all the same.
 
Mtu wa ovyo sana huyu kuteuliwa, kwanza ni incompetent (hajui hata vifungu vya PGO)
 
Kingai mnamnalumu bure. Kwanza tunapaswa kujua kuwa boss wake ni nani ! Hivyo malalamiko yote mnayomlalamikia hakufanya kwa matakwa yake bali kwa kutii maagizo.


Kwa mfano wewe hapo sasa hivi ubake binti mdogo wa miaka sita wa nyumba ya jirani na kwako, kwa kushauriwa na boss wako, lawama zote abebeshwe boss wako?.
 
Sasa why ateue mtu kilaza kabisaa??
 
Rais HAPANGIWI.......Ni ukosefu wa ADABU na HESHIMA kuanza kumpangia na kumshinikiza Rais.

Pongezi kwa mteule.
kamwe usisikilize majungu.....piga kazi.
Majungu na fitina havina nafasi katika awamu hii ya 6.
 
sasa why ateue mtu kilaza kabisaa??
Nadhan atakua ni mmoja ya watu waliopendekezwa kwa Rais ili wateuliwe...na wanaopendekeza always wanatafuta best suited candidates ambao wanaweza kuhudumu kwa muda na wakati uliopo.
 
Uko kama mimi huenda hata kujichang'anya kule ni kuwalinda 'wakubwa'..
 
Sifa kubwa iliyompandisha cheo ni dini yake
 
Imani ya Rais kwa Kingai ingekuwa ndogo asingemteua kuwa DCI, Rais ana imani naye na ile kesi ya Gaidi Mbowe si kipimo cha utendaji wa Kingai. Muacheni achape kazi
 
Hakika

Hakuna aliyetarajia KINGAI kupata UKURUGENZI kutokana na Mwenendo mzima wa KESI ya Kutunga ya UGAIDI Kama KINGAI kapanda CHEO basi Tutarajie MAJAJI MAWAKILI NA MAPOLISI wote nao Waliohusika ktk KESI ya UGAIDI WATAPANDA VYEO

Kweli KUFA KUFAANA
Wengine Wanateswa na Kuumizwa Watesaji WANAPANDA VYEO.
 
πŸ˜†πŸ˜† Chadomo bwana ,mna ujumbe wenu huku πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220720-092231.png
    137.2 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…