Uteuzi wa Barbra CAF; kejeli za Yanga ni ushahidi wenye akili ni wawili tu?

Uteuzi wa Barbra CAF; kejeli za Yanga ni ushahidi wenye akili ni wawili tu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
308522992_2348343595324642_3001705373733880230_n.jpg

images.jpeg

Baada ya mwanamama Barbra CEO wa Simba Sc kuteuliwa CAF kumekuwa na kejeli za kila aina kutoka Yanga. Kejeli hizi zinafanya nje na ndani ya JF. Kuhusu uwezo wake hakuna shaka, hata wanaokejeli humu wanalijua hilo.

Ila najiuliza shida nini tumekuwa haters wa kiwango hiki? Mtindo huu wa maisha ya Simba na Yanga ulioibuka miaka ya karibuni ni kazi ya watu waliowekeza kwenye kupandikiza chuki badala ya utani wa jadi.
Kejeli zimeenda mbali zaidi na kumdhihaki kingono.

Kabla zijafika mbali nikarudi kujiuliza au ndio ile kauli iliyowahi kutolewa kwamba ndugu zetu Yanga wana watu wawili tu wenye akili sawa sawa? Kama wewe ni miongoni mwa hao wawili,unawezaje kuwa juha wa kiwango hicho?

Nimeuliza swali?
 
Si ndio nyinyi mnaiombea Yanga itolewe isifike makundi?

Kwahiyo wanasimba mnaruhusiwa kuichukia Yanga, ila wanayanga hawaruhusiwi kuichukia simba?

Si ndio nyie mliitwa mbumbumbu, au mlionewa?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ni utani tu wakuu, nothing personal. Haipo siku wanasimba wataisifia Yanga. And vice versa is true!
 
Huu mpira wa TZ umeharibiwa na watu kama Manara wanaojua mpira saa zote ni matusi na propaganda tu

Na wakifungiwa wanatetewa
 
Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadam....[emoji848][emoji848] Kumbeka wewe ni mtoa kejeli mkubwa hapa jukwaani na ukaenda mbali zaidi Kwa kufanya hadi ubaguzi Kwa mlemavu na nyuzi zako za kuhamasisha chuki zimejaa tele hapa jf..
Acha kulialia kuomba huruma..
Waache watukane tu maana ndio utani wa jadi mliouchagua
 
Kelele za [emoji196] (Yanga) hazimzuii Tembo kunywa Maji

CAF wameona CEO Barbara Gonzalez ana kitu cha kuonyesha au kama si kufanya kwenye medani ya soka

Wao wanadhani porojo na bwihi bwihi ndo zinaleta maendeleo ya soka, kwahivyo wacha waendelee tu usiwashtue..!
 
Si ndio nyinyi mnaiombea Yanga itolewe isifike makundi?

Kwahiyo wanasimba mnaruhusiwa kuichukia Yanga, ila wanayanga hawaruhusiwi kuichukia simba?

Si ndio nyie mliitwa mbumbumbu, au mlionewa?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ni utani tu wakuu, nothing personal. Haipo siku wanasimba wataisifia Yanga. And vice versa is true!
Hawa jamaa wanastahili kabisa kuitwa mbumbumbu! Ni juzi tu hapa walikuwa wanapiga kelele za kumkataa huyu CEO wao!!

Ila sasa hivi baada ya kuoata huo uteuzi usio na tija yoyote ile kwa Wananchi, tayari amekuwa kipenzi ni chao!! Na wanalazimisha na sisi eti tumpongeze!! Kwa lipi hasa !!
 
ila kuna chuki naiona kwenye usimba na uyanga Simba wanawaponda sana yanga na kuwadhihaki ila yanga nao wakijibu mapigo simba wanaona kama wanaonewa tujifunze kuwa Waelewa kulingana na nini kimeongelewa kwa mwenzetu tusiwe watu wa kupiga ila tukipigwa zinauma kama utani umefikia kwenye chuki bas chukianeni mmoja wenu asiwepo wa kunidai kaumizwa
 
View attachment 2365273
View attachment 2365274
Baada ya mwanamama Barbra CEO wa Simba Sc kuteuliwa CAF kumekuwa na kejeli za kila aina kutoka Yanga. Kejeli hizi zinafanya nje na ndani ya JF. Kuhusu uwezo wake hakuna shaka, hata wanaokejeli humu wanalijua hilo.

Ila najiuliza shida nini tumekuwa haters wa kiwango hiki? Mtindo huu wa maisha ya Simba na Yanga ulioibuka miaka ya karibuni ni kazi ya watu waliowekeza kwenye kupandikiza chuki badala ya utani wa jadi.
Kejeli zimeenda mbali zaidi na kumdhihaki kingono.

Kabla zijafika mbali nikarudi kujiuliza au ndio ile kauli iliyowahi kutolewa kwamba ndugu zetu Yanga wana watu wawili tu wenye akili sawa sawa? Kama wewe ni miongoni mwa hao wawili,unawezaje kuwa juha wa kiwango hicho?

Nimeuliza swali?
Mshabiki Wa Simba na yanga Wana uwezo mdogo kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba Ukikaa na kujifungia Chumbani kwako hakuna atakaekuona. Hao wote walioteuliwa huwa wanatoka ndio maana wanapata Connection.

CAF walikuja kufanya kikao chao hapa Sebuleni kwetu, sisi wengine hata Mualiko hatukupata, ni dhahiri bado tumejifungia Chumbani.
 
View attachment 2365273
View attachment 2365274
Baada ya mwanamama Barbra CEO wa Simba Sc kuteuliwa CAF kumekuwa na kejeli za kila aina kutoka Yanga. Kejeli hizi zinafanya nje na ndani ya JF. Kuhusu uwezo wake hakuna shaka, hata wanaokejeli humu wanalijua hilo.

Ila najiuliza shida nini tumekuwa haters wa kiwango hiki? Mtindo huu wa maisha ya Simba na Yanga ulioibuka miaka ya karibuni ni kazi ya watu waliowekeza kwenye kupandikiza chuki badala ya utani wa jadi.
Kejeli zimeenda mbali zaidi na kumdhihaki kingono.

Kabla zijafika mbali nikarudi kujiuliza au ndio ile kauli iliyowahi kutolewa kwamba ndugu zetu Yanga wana watu wawili tu wenye akili sawa sawa? Kama wewe ni miongoni mwa hao wawili,unawezaje kuwa juha wa kiwango hicho?

Nimeuliza swali?
Hizi ndio akili zao
IMG-20220923-WA0059.jpg
 
Ila najiuliza shida nini tumekuwa haters wa kiwango hiki? Mtindo huu wa maisha ya Simba na Yanga ulioibuka miaka ya karibuni ni kazi ya watu waliowekeza kwenye kupandikiza chuki badala ya utani wa jadi.
Kejeli zimeenda mbali zaidi na kumdhihaki kingono.

Hapa umeeleza vizuri halafu umemalizia kitoto. Nyie wote Simba na Yanga mmeanzisha ushabiki wa kitoto akiwemo na Barbara mwenyewe. Tafuta post za wanasimba wanaompongeza Barbara huku wakiponda Yanga, majibu ni Yanga kutafuta kumponda Barbara ili muumie. Wachezaji 9 wa Simba walipoteuliwa timu ya Taifa ikawa kejeli toka kwa Barbara ili ionekane Yanga haina wachezaji wazuri, akajibiwa kwa idadi ya watakaoanza kikosi cha kwanza. Baada ya hapo TFF ikaingia mkenge kwa kupunguza wachezaji wa Simba na Yanga kuwafurahisha wakosoaji. Tunasubiri ipigwe kesho ili haters wapate cha kuongea na Mimi binafsi ikifungwa nitawazodoa TFF maana hawakuwa na sababu ya Msingi kuwaacha wachezaji wazuri wa Simba na Yanga kwa kufuata upepo wa kuridhisha watu.
Kiujumla ushabiki wa Simba na Yanga wa sasa umekosa weledi na umejaa umburula. Leo anaibuka shabiki wa Yanga kumponda Phiri wa Simba na wa Simba jioni anamponda Mayele.
 
View attachment 2365273
View attachment 2365274
Baada ya mwanamama Barbra CEO wa Simba Sc kuteuliwa CAF kumekuwa na kejeli za kila aina kutoka Yanga. Kejeli hizi zinafanya nje na ndani ya JF. Kuhusu uwezo wake hakuna shaka, hata wanaokejeli humu wanalijua hilo.

Ila najiuliza shida nini tumekuwa haters wa kiwango hiki? Mtindo huu wa maisha ya Simba na Yanga ulioibuka miaka ya karibuni ni kazi ya watu waliowekeza kwenye kupandikiza chuki badala ya utani wa jadi.
Kejeli zimeenda mbali zaidi na kumdhihaki kingono.

Kabla zijafika mbali nikarudi kujiuliza au ndio ile kauli iliyowahi kutolewa kwamba ndugu zetu Yanga wana watu wawili tu wenye akili sawa sawa? Kama wewe ni miongoni mwa hao wawili,unawezaje kuwa juha wa kiwango hicho?

Nimeuliza swali?
na mm nauliza swali!je ni kweli makolo fc aka mikia FC aka simba sc ni mbumbumbu??
 
Naona hapa ulikua unaiombea mema Yanga
 
View attachment 2365273
View attachment 2365274
Baada ya mwanamama Barbra CEO wa Simba Sc kuteuliwa CAF kumekuwa na kejeli za kila aina kutoka Yanga. Kejeli hizi zinafanya nje na ndani ya JF. Kuhusu uwezo wake hakuna shaka, hata wanaokejeli humu wanalijua hilo.

Ila najiuliza shida nini tumekuwa haters wa kiwango hiki? Mtindo huu wa maisha ya Simba na Yanga ulioibuka miaka ya karibuni ni kazi ya watu waliowekeza kwenye kupandikiza chuki badala ya utani wa jadi.
Kejeli zimeenda mbali zaidi na kumdhihaki kingono.

Kabla zijafika mbali nikarudi kujiuliza au ndio ile kauli iliyowahi kutolewa kwamba ndugu zetu Yanga wana watu wawili tu wenye akili sawa sawa? Kama wewe ni miongoni mwa hao wawili,unawezaje kuwa juha wa kiwango hicho?

Nimeuliza swali?
Kuna ndugu yenu alishawahi sem anyie ni MAMBUMBUMBU
 
Back
Top Bottom