Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

Kama Kuna mtu yeyote anategemea mabadiliko kutoka kwa kiongozi ambae anatokana na CCM basi huyo ni kichaa na bado mtaona mengi ndani ya Animal Farm...
 
Sheria inasemaje kwa mtu ujamtuma kuwa msemaji kwa niaba yangu kama mtanzania,wakati sijamchagua wala kumtuma kuniongelea.

Mbona unajipa cheo si chako, kumbe kuna watu wakiwa nje ya BUNGE wanamiss kuongea ongea
 
Sheria inasemaje kwa mtu ujamtuma kuwa msemaji kwa niaba yangu kama mtanzania,wakati sijamchagua wala kumtuma kuniongelea.

Mbona unajipa cheo si chako, kumbe kuna watu wakiwa nje ya BUNGE wanamiss kuongea ongea
Kwi Kwi Kwi
 
Lema ni mkimbizi, afanye shughuli za wakimbizi huko,maji yalimzidi akayakimbia.
Afahamu kuwaTanzania ni sovereign state,inaendeshwa kwa katiba,sheria ,kanuni na taratibu ilizojiwekea ,yeye alikwishahamia nchi nyingine, mambo ya Tanzania ayaachie watanzania wenyewe wanaoishi Tanzania kila mwaka siku 365, yeye keshapoteza credibility.
 
Una akili timamu ?
 
View attachment 1781433
Huyu ndiye Kamanda Lema, aka Nabii wa makaburini, my foot!
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
We uliyosoma umeisaidia nn jamii inayokuzunguka? Umewahi kununua hata mpira vijana wakacheza?? umesomesha vijana wangapi wasiokuwa na uwezo wa kulipa ada?
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Bado mmoja yuko bungeni
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Inakera mno kwakweli!
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
View attachment 1781433
Huyu ndiye Kamanda Lema, aka Nabii wa makaburini, my foot!
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Lema ana tatizo la kisaikolojia. Ni mtu kuongea tu, akimaliza analeta unabii usio na kichwa wala miguu.
Hivi ukija kuambiwa kuwa Mama alikuwa hamtaki Biswalo, lakini sheria ina mkataza kumvua madaraka DPP labda kumpandisha tuu.
Kaamua kumpandisha cheo, kisha kawatuma watu wake watafute "mfyatukaji" mmoja aweke pingamizi mahakamani la uteuzi wake utarudia tena kusema hayo uliyo andika?
Siasa ni sayansi mkuu!
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
mm nimefuatilia nikagundua hiki Chama cha Mbowe katili la Hai na likwepa kodi dikkteta lenye makengeza ni watu wasiojielewa masikini wa kutupwa hawana lolote ni makayabanga tu
 
Mtoto mdogo umeng'ang'ania story za mapokeo ya vijiweni!
Jambazi basi tutajie walao hata kesi moja uijuayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…