Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

Hajatabiri kifo cha mtu. Hili la kifo ni la kwako...!

Anapinga uteuzi wa Biswalo Mganga kuteuliwa kuwa Judge kwa sababu anayosema "..ukosefu wa maadili.."

Nadhani Lema ana maana ya kuwa, Biswalo Mganga ana historia mbovu ya kutenda haki...

Na kwa kukosa maadili, basi hawezi kuwa "Jaji" badala yake anapaswa kuwa jela au jehanamu..!

Kama sheria inaruhusu raia yeyote kupinga uteuzi wa Jaji kwa sababu za kimaadili, basi tuache watu wenye ushahidi wafanye hivyo...
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Kipimo kwa mahakama tuone kama zimeanza kuwa huru, Biswalo hana credibility ya kuwa jaji sifa moja kubwa ya mtu kuwa jaji lazima awe impartial, huyu jamaa ofisi yake ilikandamiza watu wakati wa utawala wa mwendazake, watu kutolewa pesa bila maamuzi ya mahakama ulikuwa ni uporaji.
Wait…mi nilidhani kwa kuondoshwa kwake kuwa DPP ni kwamba Mama anawakomesha MATAGA!

Sivyo?
 
Godbless Lema yeye kama nani anatoa order kama hiyo... jambazi tu huyu kasumbua sana Arusha eti leo ni mwanasiasa! siasa nayo ni sehemu ya watu washenzi kujifichia!

Hana maadili? Hao majaji wengine waliokuwa kwenye hivi vyeo mpaka kuozea huko wamefanya mambo gani ya maana?

Hii ni kinga kwake zaidi maana najua kuna watu walikuwa wanategemea atatupiliwa mbali. Na pengine sasa atakua kwenye kiti maalum cha kufanya maamuzi dhidi za kesi... kwa kifupi hiki ni kipimo kwake!

aachwe hapo hapo!

Mlikuwa mnafanya naye huo ujambazi..? How do you know..?

Au ndiye nyie ambao mkibananishwa kuthibitisha mnaishia kujitetea kuwa "nimesikia tu watu wanasema sema sokoni...!!??"

So pathetic..
 
Sina tatizo na uteuzi lakini kwanini hatuna utamaduni wa kumuacha kabisa mtu akaendazakw kama mteuzi hakufurahia utendaji wake katika sehemu teuliwa??

Tabia ya ku-recycle viongozi walewale inasumaza!! Waziri wa Viwanda kachemsha na sasa ni waziri wa michezo! Mbona hakuwa waziri wa michezo toka mwanzo??

Wakati mwingine naamini teuzi hizi ni zawadi au kifunga mdomo! Tunapaswa kujenga dhana kuwa ukiharibu unapotea!!
 
E6A83BF0-97E5-4AAA-A8C7-9E650C95171C.jpeg
 
Chadema wanadeal na mambo ambayo hayagusi kundi kubwa la Watanzania bali ni ya ubinafsi wao tu. Watu wana shida ya maji, barabara mbovu kwa baadhi ya maeneo ya nchi lkn hawayaongelei bali wamebakia umbea tu mara Sabaya, DPP...!!!
Kwanini wewe usiwapambanie hao wananchi?
 
Chadema wanadeal na mambo ambayo hayagusi kundi kubwa la Watanzania bali ni ya ubinafsi wao tu. Watu wana shida ya maji, barabara mbovu kwa baadhi ya maeneo ya nchi lkn hawayaongelei bali wamebakia umbea tu mara Sabaya, DPP...!!!
Wewe bila shaka hujui kwanini unaishi.
Jitafakari
 
Godbless Lema yeye kama nani anatoa order kama hiyo... jambazi tu huyu kasumbua sana Arusha eti leo ni mwanasiasa! siasa nayo ni sehemu ya watu washenzi kujifichia!

Hana maadili? Hao majaji wengine waliokuwa kwenye hivi vyeo mpaka kuozea huko wamefanya mambo gani ya maana?

Hii ni kinga kwake zaidi maana najua kuna watu walikuwa wanategemea atatupiliwa mbali. Na pengine sasa atakua kwenye kiti maalum cha kufanya maamuzi dhidi za kesi... kwa kifupi hiki ni kipimo kwake!

aachwe hapo hapo!
Nenda mahakamani na ushahidi ili achukuliwe hatua na sio kupiga porojo humu.
 
Biswalo alitakiwa awe chini ya ulinzi achunguzwe alivyopiga mabilioni ya Watanzania
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Kwanini umejaza fikra za kudhani JF ni jukwaa la mashindano kati ya CCM na CHADEMA?

Yaani wewe unaamini kabisa kuwa, kama kuna mtu analeta hoja isiyo ya kiCCM au isiyosifia au kukaa kiCCM unafikiri ni CHADEMA..?

Kama una fikra hizi, basi wewe ni mjinga na mpumbavu sana...!!

Hiki kipande cha dunia chenye jina la "Tanzania" si cha watu wa CCM na CHADEMA tu.. Na sisi wengine tupo eti...

Stop that nonsense & stupidity. Utakosa na kupitwa mengi kwa kujaza ujinga kama huu kichwani mwako..!
 
Lema ana tatizo la kisaikolojia. Ni mtu kuongea tu, akimaliza analeta unabii usio na kichwa wala miguu.
Hapo nilipokoleza pahusike.
Unabii wake Bwana Lema hovyo kabisa😉

Mwaka juzi, kama si mwaka jana mwanzoni,
Aliwahi kuonya juu ya Kiburi cha bwana mmoja (Kipindi hicho huyo bwana alikuwa anajipigia ndogonogo cheo cha Ukiranja wa Malaika akienda Mbinguni)
Bwana huyo ('Mungu mtu' kwa maneno ya Lema)
Aliekezwa ajirekebishe kinyume na hivyo, asingeweza kuiona 2020,
Unajua kilichotokea?
Mungu tu akatoa bonas ya 'vimiezi' kama vitatu, lakini bwana yule hayupo tena kama ilivyotabiriwa.
Chakujiuliza ni iwapo Mungu alimpa Ukiranja wa Malaika yule bwana ama la .

Mwambieni Lema aache ubabaishaji jamani.
 
Hapo nilipokoleza pahusike.
Unabii wake Bwana Lema hovyo kabisa😉

Mwaka juzi, kama si mwaka jana mwanzoni,
Aliwahi kuonya juu ya Kiburi cha bwana mmoja (Kipindi hicho huyo bwana alikuwa anajipigia ndogonogo cheo cha Ukiranja wa Malaika akienda Mbinguni)
Bwana huyo ('Mungu mtu' kwa maneno ya Lema)
Aliekezwa ajirekebishe kinyume na hivyo, asingeweza kuiona 2020,
Unajua kilichotokea?
Mungu tu akatoa bonas ya 'vimiezi' kama vitatu, lakini bwana yule hayupo tena kama ilivyotabiriwa.
Chakujiuliza ni iwapo Mungu alimpa Ukiranja wa Malaika yule bwana ama la .

Mwambieni Lema aache ubabaishaji jamani.
Aiseeee !!!
 
Lema A

Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
We uliyosoma umeisaidia nn jamii inayokuzunguka? Umewahi kununua hata mpira vijana wakacheza?? umesomesha vijana wangapi wasiokuwa na uwezo wa kulipa ada?
 
Back
Top Bottom