Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu Mpya wa TISS, Said H. Masoro, na Mtazamo wangu

Hawezi kuelewa haya Mambo

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Nenda na wakati. Dunia nzima iliyoendelea inatumia Ujasusi katika mambo ya uchumi; aidha kuzuia wengine wasikopi bidhaa zao, au wao kukopi bidhaa za wengine, kuzuia rushwa nk.
Mchina kaendelea vipi?
 
Uchimi wamaanisha uchumi? Mm sikujua kumbe Vita vya Syria vimesababishwa na uchumi,kiaje aisee?
 
Reference ya hoja ama makala hii ni sheria ya Usalama wa taifa ya January 20 mwaka 1997. Sasa unaniambia nikasome sheria hiyo hiyo tena ambayo mimi nimeonyesha mapungufu?

By the way, Financial intelligence Unit ya BOT unafahamu imeanzishwa lini na nani kaianzisha baada ya nini kutokea?
 
Jibidiishe kusoma maandiko mbali mbali utaelewa na Kukubaliana na mtoa uzi.

Idara Ya Usalama wa Taifa ina cover almost sector zote ambazo zinafanya Ustawi wa Taifa na zinazochangia Maendeleo na au "Stability" ya Taifa.
Umeielewa makala kuu kweli? Hakuna mahali ambapo makala hii inasema kuwa TISS haifanyi haya yaliyopendekezwa, Hoja kuu ni kuwa Ujasusi wa kiuchumi upewe kipaumbele zaidi tofauti na sasa siasa inapewa kipaumbele. Nini kinakufanya usielewe hoja hii ndogo tu?
 
Nenda na wakati. Dunia nzima iliyoendelea inatumia Ujasusi katika mambo ya uchumi; aidha kuzuia wengine wasikopi bidhaa zao, au wao kukopi bidhaa za wengine, kuzuia rushwa nk.
Mchina kaendelea vipi?
Kwani tiss yetu haifanyi hayo mkuu

Ova
 
Tanzania inategemea sana kilimo,uvuvi, mifugo, maliasili inayojumuisha mazao ya misitu,wanyamapori na madini katika kukupatia fedha za kigeni...na usalama wetu na kutengemaa kwa Amani vinategemea sana ustawi wa sekta hizi...sasa sisi watanzania wa kawaida kabisa tunajua kwamba yeyote anayehatarisha sekta hizo ana hatarisha usalama wa Taifa hili pia...swali sasa...Sekta hizi ni salama kweli, wanyamapori na mazao ya misitu yako salama, vyanzo vyetu vya maji na uoto wa asili uko salama, au ndio tunaambiwa resources zetu wameachiwa familia sijui 9 au 12 ili wahatarishe usalama wa watu million 60?....Nadhani tutakua tunakosea sana kama Taifa tukifikiri kwamba vipaumbele vyetu ni sawa na nchi nyingine... mindset na namna tunavyofanya mambo yetu ni muhimu sana tukaviweka na kuvipima kuendana na Hali halisi ya Kitanzania.... models za intelligence za CIA ,MI6 au KGB ni way to advanced...sisi tujikite kwenye maswala yetu ya Msingi...tutatoboa tuu...kwa mfano hivi Tanzania kwanini tupoteze resources zetu kuwekeza kwenye cyber security na wakati vyanzo vya maji,mito,madini vinachezewa mchana kweupe?!...au ni kweli unahitaji kuwekeza kwenye mambo ambayo huna Tija nayo na kwa pesa nyingi wakati mambo ambayo hayahitaji ata darubini na yanasaidia uchumi wako unayaacha yanafanywa ndivyo sivyo!?.... C'MON PEOPLE.... THINK WISELY.....IF YOU WORK FOR LIVING WHY KILL YOURSELF WHILE WORKING.
 
Kabla haujabishana na Mtoa mada hakikisha unaelewa Mada, Usalama wa Taifa ni Jambo zito sana. Tatizo Nchi zetu hizi zinaweka Tumbo mbele zaidi ya Maslai ya Taifa na wananchi wake.

Mfano Amerika Donald trump alitaka kukataa kuondoka ikulu kulinda Maslai ya Nchi Mkuu wa Kikosi Cha Ulinzi wa Raisi alimwambia ikulu sio Mali Yako na walimpa massa kadhaa aondoke .

Je huu usalama wetu hapa wanaweza hivyo? Wanaweza kumkamata na kumrekebisha kiongozi aliyekengeuka kimaadili? Zaidi ya Uchawa?

Ukiendesha Nchi Kwa Uchawa hamna kitu utaweza kufanikisha kamwe.

Hata katika swala la matumizi ya raslimali za Taifa na Mikataba ya kitaifa na Kimataifa , Usalama wa Taifa walitakiwa kuipitia na Kuitolea miongozo kama Ina manufaa au ni Hasara Kwa Taifa.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Ame
Ni kweli asilimia kubwa ya wafanyabuashara kwenye madini ni wastaafu wa vyombo vya usalama kwa ulaya na marekani.
 
Hao watu ni sehemu ya ambiguity, arbitrariness, capriciousness na impunity; nguzo 4 za Bad Governance. Si rahisi kubadili mfumo huu mbovu. Hasa kama ndiyo uliokuweka madarakani.
 
Real talk
 
Na idara ya elimu ina left wing ya upelelezi, wanapeleleza nin?
 
Pamoja na kudharau uwezo mdogo wa mleta mada ila mmejikuta mnatufundisha mengi kupitia bandiko lake hili na yeye pia anazidi kujifunza zaidi mwisho wa siku atawazidi hata ninyi mnaojua au kujifanya kujua zaidi Hongera Yericko Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…