Point kubwa Tukujengee sanamu wapiWasanii nao ni watanzania, wapewe nafasi waonyeshe vipaji vyao mbona Jokate ameweza, tuwe wavumilivu tumor mama nafasi afanye kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point kubwa Tukujengee sanamu wapiWasanii nao ni watanzania, wapewe nafasi waonyeshe vipaji vyao mbona Jokate ameweza, tuwe wavumilivu tumor mama nafasi afanye kazi
Mbowe anaingiaje hapa katika Uzi huu?Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Dah....aliuanzisha....na anauendeleza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]CCM ni mijitu ya ovyo..mfumo huu wa teuzi alianzisha Kikwete akajaza mahawara zake kibao..upuuzi
Yuko Simanjiro mtu swafi yuleIvi yule kijana aliyechaguliwa na the late John, ambae alikuwa ni PHD holder tokea china ambae alifanya kazi ndan ya chama na mshahara wake ulikuwa laki 5 bado amebaki ?kama mama kamtoa this is not fair
Mzee umecatch feeling sana kwenye hili, unaonekana waziwazi kabisa.......hizi teuzi zinafanya watu wanajipendekeza kwa mama,mara kapost picha mara kapongeza.
Nimeipenda hiiMama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
nasikia group lako limetoa DC,hongera
Mkuu haya matatizo umeanza kuyaona awamu ya 6?Tanzania tuna rasilimali Ila hatujawahi pata visionary leaders.
You can imagine , tuna Kila kitu, lakini kuna mahali mwaka wa 60 huu toka Uhuru watu hawana vyoo.
Nimeona mkuu
Nyie kila mtu ni hovyo, kuanzia kwa Mkapa, mkaja kwa Kikwete,mkaendelea kwa Magufuli, sasa tena kwa mama,sijui nani mtamuona anafaa, mbona naeMbowe anafanya teuzi za hovyo ndio maana kageuza Chadema kuwa SACCOS, kama Chadmea ingekuwa ileile ya akona Dr Slaa nchii sasa ingekuwa chini ya Chadema, lakini kwa ujinga wa mwenyekiti wenu akageuza gia angani kwa kuleta watu walewale ambao mliwaita majizi, matokeo wananchi wakawaona ni wahuni, udhaifu wa chama chenu ndio umefanya wateuliwa watu kama akina Basila Mwanukuzi, Mchobanga, Niki na wengineo wengi wa hovyo. Tusilalamike tu haya ndio tuliyoyataka,wacha tule kavu za usoni.Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Hii trial and error ndio huzalisha sampuli za akina Sabaya ,Makonda nk
Umeona eeh...Na kila anayeteuliwa Mh. Rais kakosea...Nchi hairidhiki kwa chochote kila kitu kibaya...Vijana ndiyo percent kubwa acha wajaribu na wao wakishindwa tutajifunza piaInasikitisha sana kuwa na nchi ambayo watu wake wanaamini uongozi ndio keki ya taifa na mtu akipewa cheo ameula
Ifike mahala tuache dharau wasanii wamewekwa kwenye wilaya zote? pia usimchukulie mtu unavyomjua wewe hata katika maisha ya kawaida tu majukumu yakiongezeka na akili ubadilika.Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni. Up
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Ulitegemea nini mkuu? Fuga kuku ule mayai.Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu