Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Wana leave,siyo wanaleft!Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana leave,siyo wanaleft!Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Na wale waunga juhudi tuliowatukana kuwa wamehama Ila bado wametoswaMama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
U hovyo wake uko wapi??? kwani sifa za kuwa DC ni zipi?Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Hivi ungeteuliwa wéwe ungelàlàmika? piga kazi acha majungu! kwani usanii sio kazi halali! Inaelekea una roho mbaya sana, una hitaji maombi!Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Hata mkwere alikuwa kwenye uteuzi analemewa na makukumuInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Hii trial and error ndio huzalisha sampuli za akina Sabaya ,Makonda nkHakuna anaezaliwa Mkuu wa Wilaya, acha watu wapewe nafasi wakiboronga watatupwa kampuni..
Nchi ni yetu sote acha tule keki kwa zamu.
Tunachukulia mzaha ila Sidhani kama ni sahihi kumtoa MTU from no where ukamweka kwenya utawala administration!!! Ukuu wa wilaya unataka MTU anaejua hata some labour laws!!! Nk sio MTU kutoka pasipo julikana !!! Na matokea Haya ndio wanazaliwa watu jamii ya Sabaya makonda nk!!!Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Punguza wivu mkuu, wanafanya sanaa kama kazi ya kujipatia riziki. Usidhani kuwa wasanii wote ni bogus, wapo wasanii wengi tu wenye uwezo mkubwa sana wa kuongoza.Nafasi wapewe lakini sio ukuu wa wilaya. Wanaelewa nini kwenye utumishi na ulinzi na usalama.
Sisiem ndio wameumia zaid walifia chama mwisho wa siku wapinzani ndio wamepewa vyeo na hii ni ushuhuda kwamba ccm wanawategemea wapinzani !!! Kwann msiwape vyeo ccm !??? Ila wakitoka upinzani wanapewa vyeo!?? Ccm mmefia chama vyeo wapinzani nani anaumia hapo!???Sema tu umewaona kuna akina Nassar na Lijualikali mliowacheka day in and day out kwamba wamehadaliwa kwenda Sisiemu na kisha kutoswa. Shame!!!
Kuna kiongozi mmoja wa ccm juzi aliniambia, mama ameiua ccm na anasema 2025 hali itakuwa tete kwa ccm.Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Ndugu siku hizi akili umeziacha wapi?Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Tafadhri waombe radhi hao unaowasema wameokotezwa kutoka wasanii wa mitandaoni. Yaani Dr Mashinji, daktari bingwa mbobezi wa anathesiology aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu alipomiminiwa full magazine huko Dodoma, wewe unamuona ni msanii wa kuokotezwa mitandaoni? Yaani kijana Nassari mwenye master degree ya utawala aliyewahi kuwa mbunge muelevu, leo wewe unamuona msanii wa kuokotezwa. Yaani kijana Lijuakali mwenye elimu kubwa kuliko yako ambaye pia alipata kuwa mbunge mwenye hekima, unamwita msanii wa kuokoteza? Yaani wale ma juornalists wasomi waliobobea walioteuliwa, wewe kwako ni wasanii wa kuokoteza mitandaoni kama wewe ulivyo?Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Kama ni chuo cha uongozi, kwa nini Mr Hai haachii nafasi ya uenyekiti wa chama!??? Kwa nini hamchukui nchi, kama chama chenu ni chuo!??? Kwa nini hata ofisi tu ya danganyatoto hamataki kujenga kwa ajili ya chama!??? Kama ni chuo, ilikuwaje basi Lowassa, Nyalandu, Sumaye na wengine wengi walikwea hivyo vyeo vyenu chamani kwenu!??? Kama chama chenu ni chuo, kwa nini day in and day out mnawachangisha wananchi fedha za kuendeshea chama chenu badala ya kuanzisha miradi endelevu na kuwajengea watu na mashirika uwezo ili viweze kuwa sehemu ya ruzuku na ufadhili wa chama!???Sisiem ndio wameumia zaid walifia chama mwisho wa siku wapinzani ndio wamepewa vyeo na hii ni ushuhuda kwamba ccm wanawategemea wapinzani !!! Kwann msiwape vyeo ccm !??? Ila wakitoka upinzani wanapewa vyeo!?? Ccm mmefia chama vyeo wapinzani nani anaumia hapo!???
Upinzani ni chuo cha uongozi