LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Subiri nafasi za ukurugenzi, hapo watajazwa makada na wagombea ubunge kura za maoni ccm wa kutisha, rais ajitaidi Sana aboreshe utumishi wa umma, Serikali ingeboresha utumishi wa umma tungepiga hatua kubwa Sana Kama taifa.Rais kwenye ukurugenzi aachane na tabia ya kuchomeka wanasiasa walioshindwa kwenye kura za maoni, badala yake awaombe utumishi wa umma jumps data base yenye watumishi wenye sifa na weledi wamsaidie kazi.Aachane na Mambo ya kuteuliwa mtu kwa vile anajulikana vipi, Hilo halitatusaidia Kama taifa.Kwenye utumishi wa umma wako vijana wengi Sana wenye uweledi wa kufanya kazi, tatizo hawana connections.Kuendelea kutumia mtindo uleule wa kuteuana kwa kujuana hautatupeleka mbele Kama taifa