Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Yaani Watanzania bhanawataje hao watu waliokotezwa na kupewa teuzi
Wewe ulitaka akina nani wateuliwe?
Wacheni lawama zisizo lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Watanzania bhanawataje hao watu waliokotezwa na kupewa teuzi
Wewe ulitaka akina nani wateuliwe?
Wacheni lawama zisizo lazima
Na huu ndio ukweli wenyeweUlichoumia ni wale wafuasi wenu wa zamani kupewa vyeo hamna lingine.
Acha ujinga kwanza hao wasanii wote waliochaguliwa ni magraduate wa vyuo vikuu,sasa unawadhau vipiNafasi wapewe lakini sio ukuu wa wilaya. Wanaelewa nini kwenye utumishi na ulinzi na usalama.
Hakuna aliezaliwa anaelewa chochote. Hiyo ndio nafasi sahihi kabisa ya kuwapima vijana wetu.
Muacheni rais achague watu anaojua watamsaidia. Na wewe ukiwa rais utachagua wako mkuu
Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
Mama ameamua kuchagua watu kutoka katika kada tofauti tofauti, na hili ni jambo la kupongezwa.UTEUZI uko vyema tu.....
MaDC ni wanasiasa pia....Chama tawala ni lazima kiendelee kushika hatamu KIUSHAWISHI.......USHAWISHI WA MAKUNDI TOFAUTI....tukumbuke 2025 tuna uchaguzi pia...mathalani Niki wa Pili si TURUFU kisiasa?!!!!!
#KaziIendelee
Wewe ndio unazo sifa??Binafsi kwa uteuzi huu,, umeniondolea imani kubwa nilokuwa nayo kwa mteua,,, kwani zaidi 75% ya wateule wake kwenye huu mkeka hawana sifa stahiki za kuwa kwenye hizi ofisi nyeti.
Ndio inavotakiwa sio sijui mtu alikua miss,mtu wa mitandaoni huko kupost post,bongo movie anakua mkuu wa wilaya.Nakumbuka zamani ma Dc walikuwa ni wastaafu au walikaribia kustaafu kwenye idara za ulinzi.(JWTZ & Police)
Kumbuka kwamba Mama hakuwa chaguo la CCM bali la Mwendazake. Na hiki kitendo kimewafanya CCM wajitafakari.Hivi sasa lile kundi lililosema Mwanamke ni Mwanamke tu hawezi kuwa Kichwa cha nyumba bali Pambo la nyumba linafurahia kuboronga kwake ili aweze kutoswa na wenye chama muda utakapowadia 2025.Sasa maprofesa wakajazwe kuwa maDC huko wilayani na kufundisha WAWAACHIE akina nani ?!!!
uDC ni nafasi ya KISIASA pia.....siasa ni USHAWISHI.....mathalani unadhani waliofanya vetting ya CHOPA MCHOPANGA hawajitambui?!!!
Usisahau uchaguzi mwingine unakuja 2025 in shaa Allah.....
#ChamaNiLazimaKishikeHatamu
#KaziIendelee
#NchiKwanza
🤣🤣👊Unabii wao hasi dhidi ya akina Nassari,Lijuakali umedunda,wamebaki kuhaha
Wasanii nao ni watanzania, wapewe nafasi waonyeshe vipaji vyao mbona Jokate ameweza, tuwe wavumilivu tumor mama nafasi afanye kazi
Zama zimebadilika MKUU....Ndio inavotakiwa sio sijui mtu alikua miss,mtu wa mitandaoni huko kupost post,bongo movie anakua mkuu wa wilaya.
Wakati kuna wastaafu, profesa,academicians tunaohitaji mchango wao bado wanaachwa.
Uvccm huko washachanganyikiwa saiv hawajui hataa kinachoendelea
Msemaji wa WEUSI walio na USHAWISHI kwa vijana.....hasa wa KASKAZINI.....Jokate alishawahi pitia uvvcm uko so maadili ya uongozi anayajua sasa mtu alikua msemaji wa weusi hajawahi kuongoza hata kata leo anapewa ukuu wa wiraya.pathetic
nasikia group lako limetoa DC,hongeraMsaulika ktk ubora wake
Sidhani kama tatizo ni wao kuhamia upande wa pili. Ni namna wanavyohamia. Hawa vijana walihama huku wakitukana walikotoka wakisahau fadhila kubwa waliopewa na jinsi walivyopiganiwa wakati walipokuwa na matatizo.Hapo ndio upinzani wanashangaza sana.
Wanamnanga Nassari kwa kuwa alihama Chadema. Wao walimpokea Lowassa na straight away kumpa nafasi kubwa ya kugombea urais, walimpokea Nyalandu na hivyo hivyo wakampa nafasi ya uongozi.
Wao wanalolitaka ni waliohama CDM wasipokelewe popote. Wakuu acheni hizo